Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habarini wadau Naomba kufahamishwa madhara ya dawa ya usingizi inayotumika theatre kwa mgonjwa ambae amepewa ile dawa ,je nini kinatokea au akitarajie mara baada ya kupewa na kutokewa theatre?
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Ile tabia ya ubongo kutokufanya vitu kwa wakati mfano. Mtu anakwambia kitu unakuja kumwelewa badae Sana. Mtu anaongea jambo la kuchekesha kwa wakati huo hata hucheki unakuja kugudua badae na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Bila shaka mu wazima mukheri wa afya njema, imenilazimu niandike humu kuomba msaada wenu wa ushauri, sielewi ni nini kimenipata, nilikuwa na demu wangu ninaempenda sana, sababu mimi ndiyo...
1 Reactions
44 Replies
12K Views
Habar zenu wakuu Naomba kuelimishwa juu ya jambo hili ; ya kwamba mtu mwenye vidonda vya tumbo haruhusiwi kutumia dagaa?? Wataalamu nisaidien kwa hili
0 Reactions
4 Replies
697 Views
Msaada wadau mtoto kushituka Mara kwa mara usiku sijui nini tatizo.hospital nimempeleka zaidi ya mara nne nawaeleza hii hali,wanasema ni kawaida
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu msaada. Nilikuwa na mafua then sijatumia dawa na yakachelewa kupona na pia huwa nilkua napenga kwa nguvu na kulazimisha hadi nikapata kidonda puani. Kwa sasa kidonda kimepona na mafua...
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Nina ujauzito ambao kulingana na wataalamu niko wiki ya 33. Leo nimeshituka kidogo, nikiwa natembea kama moja ya mazoezi ghafla tumbo lilibana kwa chini ya kitovu na nikahisi maumivu kweli. Baada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana miaka 18 .ninasumbuliwa na tatizo la maumivu ya kifua upandewa kushoto ,pamoja na mgongoni upande wa juu kushoto. Maumivu hayo huwa kama vile mtu anafinyavl au some time kama kitu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu naomba kujua ulimi wangu unakua na mchubuko nashindwa kuelewa tatizo linakuwa nini. Naomba kujuzwa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari Ndugu zangu! Samahani sana naomba kufahamu kati ya SD Bioline na Alere Determine...kipi ni kipimo bora zaidi kwa kupima HIV. Ikumbukwe kuwa Alere was once used in Tanzania na SD Bioline...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Mimi ni baba wa mtoto mmoja, sina uzoefu na kulea watoto aidha nasaidiwa sana na wanaJF katika kujua baadhi ya mambo yanayomhusu mtoto. Nakili nilienda clinic katika moja maeneo ninayoishi...
0 Reactions
65 Replies
83K Views
Habari wakati huu, Mimi naombeni ushauri nitamjuaje mtu mwenye HIV carrier au ni dalili zipi zinaonyesha mtu mwenye HIV carrier. Nasubiri ushauri
1 Reactions
208 Replies
24K Views
za leo wana jamvi naomba kufahamu je, kuna madhara yyte kwa mdada ambae hajazaa kufanya mazoezi ya kukata/kupunguza tu,tumbo?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jamiii Naombeni msaada maana hili tatizo nililonalo limekuwa sugu sasa. Ni kwamba uume wangu umekuwa ukisimama pindi nipo usingizini ila nikishtuka hiyo hali inapotea ghafla. Nikiwa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wanajamvi naomba msaada wa kitabibu kwani mwili unawasha sana kwa takribani mwezi sasa hadi natokewa na kama uvimbe usiku na mchana. Sijaelewa nifanye nini na tatizo huenda ni nini. Naomba ushauri
0 Reactions
3 Replies
4K Views
msaada tafadhali nina rafk wakike miez yahv karibun nywele zake zilianza kukatika ghafla yaan ikabd azinyoe hata hivyo kila zikikua zinanyonyoka inabd anyoe tena.awal hakuwah kuwa na tatzo hili yy...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Kitambi ni nini katika picha: Kitambi ni mchanganyiko wa sumu na mafuta yaliyojaa mwilini: Jinsi ya kukiondoa: 1. Get Fit Leading an active lifestyle will keep you young and healthy and...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kuuliza, Wakati mjamzito anapika. Lets say akiwa amesimama kwenye majiko yetu ya gesi. Mtoto aliyepo tumboni haathiriki na lile joto linalotoka jikoni wakati wa kupika.
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba ushauri.Mtoto akizaliwa na kitovu kikubwa kuna uwezekano wa kukirudisha kikawa cha kawaida?Je kama ni operation Yafaa afanyiwe akiwa na umri gani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
za asbh wana jamvi nasumbuliwa na tatizo lakuota kinyama kigumuuu kwenye kisigino tatizo lilianza kama vile kuna mwiba mahala hapo nikawa nachokonoa naona kama upo kwa mbalii ila ninavozd...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom