Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je...
Nakumbuka nikiwa mdogo kuna dawa nlikuwa napewa, zinatoa minyoo mizima unaweza kuihesabu, mingne ilkuwa inatokea mdomoni.
Lakini hizi za leo, unapiga siku 3 lakini hawatoki wazima tena. Dawa...
Tumeona wacheza mieleka wakifa ghafla kwa heart attack, wacheza mpira mf. Mark Vivian foe na yule aliyefia Kagera, baadhi ya wanamuziki mf. Papa Wemba, licha ya maisha ya mazoezi.
Bado tunaona...
Naombeni ushauri wataalamu wa afya. Nilikunywa maji ya mvua zimepita kama siku nne nimeanza naharisha tangu siku hiyo, sikwenda hospital maana nilifikiri ni mchafuko wa kawaida sasa kuanzia leo...
Wataalammu wa Afya naombeni kufahamu hii dawa paracetamol au pain killer. Ni kwanini hutumika kumaliza maumivu na si tiba.
Na kwanini imalize maumivu isitumike kutiibu kabisa, ?? Nashindwa...
Ki ukweli ni jambo linalohitaji ujasiri wa hali ya juu.
Tulikaa na marafiki katika story na kila mtu akawa ana hofu juu ya kwenda kupima.
Binafsi huwa najiuliza kwanini nisiende kupima lakini...
wakuu habari za muda huu!!
kama tulivyo binadamu ukishazaliwa kuugua ni sehemu ya maisha! na mimi nimekuwa nikijitokeza ndani ya jukwaa hili mara kadha wa kadha kupata ushauri juu ya afya yangu...
1. Je Oral sex inaweza kusambaza HIV?
JIBU:
Kuna uwezekano mdogo wa maambukizi ya HIV kupitia ngono ya mdomo.Uwezekano huo huongezeka endapo ngono zembe itafanyika katika kinywa chenye...
Wakuu habari.
Kwanza niombe radhi kwa wote watakao jisikia vibaya kwa sababu ya picha hizi.
Nimekuta hii discussion sehemu lakini hakuna mwenye uelewa mzuri juu ya hii kitu.
Kwa mwenye ufahamu...
Jeremia Wandili Mtanzania na mhamasishaji wa harakati za kupambana na umasikini kwa kutumia Talanta alizonazo katika kubuni mawazo bunifu. Wandili amefanikiwa kuingiza wazo la mradi wa kupambana...
Minyoo ni viumbe hai ambavyo husababisha madhara ya kiafya kwa mtu aliyeambukizwa.minyoo huishi na kukua katika utumbo ambamo hufyonza virutubisho ambavyo ni muhimu kwa lishe ya binadamu.aina ya...
Habari za usiku huu members
Niko na tatizo la kupata maumivu sehemu ya ndani ya uume baada ya kutoka haja kubwa au baada ya kumaliza kuoga, ili tatizo au maumivu yaishe ni kurudi na kujitawaza...
Jamani naomba msaada. Maana huwa napiga chafya sana kila ninapohisi kunusa vumbi, mtu akivuta sigara moshi tu ukipita mbele yangu, pia kama natafuta nguo kabatini, nikipulizia pafyumu n.k. Chafya...
Jamani naombeni msaada nashangaa kwamba kifua changu kushoto ni kiKubwa cha kushangaza cjawai kunyanyua chuma pia upande huohuo nasikia maumivu kwa ndani hadi mgongoni mimi na miaka 18
Huyu ni mtoto wa kiume ana miaka 6, tatizo aliro nalo nikuwa anatokwa na choo kikubwa bila kujitambua, mwanzoni tatizo hili lilipoanza alipelekwa hospitali akafanyiwa vipimo wakasema ana minyoo...
Heshima kwenu,
Jana kwenye maongezi ya kirafiki na bi dada mmoja, alinieleza jambo lililonifanya nishangae kidogo na hata nilipobisha(japo sikuwa na data za kubishia) bado alisisitiza kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.