(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.
Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua...
Kwa uelewa wangu ni kwamba; kuna baadhi ya wanyama hucheua lakini lakini binadamu hayuko kwenye kundi la wanaocheua. Sasa kuna rafiki yangu yeye hucheua; yaani akimaliza kula, baada ya nusu saa...
Habarini wapendwa
Nitafurahi endapo nitapata msaada kutoka kwa madoctor na wengine wenye ujuzi kuhusu tatizo la polyhydmias kwa mama wajazito , kwamba tatizo linatokana na nini ?na je tatizo...
Kati ya asilimia 100% ya wanawake nilifanya nao mapenzi,asilimia 80%wana matatizo ya kutoa harufu mbaya mara tu baada ya kusex. Na asilimia 20% tu ndiyo wao hawatoi harufu hiyo.
Je wana matatizo...
Mke wangu alijifungua kwa mara ya kwanza kwa njia ya kawaida.
Kisha mtoto wa pili alijifungua kupitia upasuaji.
Na sasa ana ujauzito mwingine,ila wakati naandaa hospitali kaajili ya kujifungulia...
Miezi 6 iliyopita vipele vidogo kama vya joto vilinitoka kwenye vidole vya mikono nilipovitumbua vilipona na kujitengeneza vidutu vigumu (rough skin surface) ambayo hospitalini Doctor aliniambia...
Rejea mada tajwa hapo juu,
Mpenzi wangu anadai kuwa anahisi mdomo wake ni mchungu muda wote, hali inayomfanya akose amani kabisa, hana mimba kwamba tutasema ni dalili ya mimba hapana.
Wataalamu...
Nasumbuliwa na tatizo la magoti kuuma.Kwenye kiungio joints.Tatizo hili linaninyima raha kwani nimetumia dawa mbalimbali Ila yanapoa kama wiki moja,maumivu yanarudi tena.Kwa mwenye kujua naomba...
Habar wana jamvi ,
Naomba kuuliza ni madhara gani mtu anaweza kuyapata endapo mtu atalala kwa muda mfupi kwa mfano mimi huwa nalala masaa mawili 2 tuu kwa siku
Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na bacteria aitwaye Corynebacterium diphtheria. Huenea kwa njia ya kumgusana au kushika vitu ambavyo mgonjwa ameshashika. Pia huenea kwa njia ya kukohoa na kupiga...
MAGONJWA mengi hayahitaji tiba. Miili ina njia mbalimbali za kukinga maradhi. Njia hizi ni bora zaidi kuliko kutumia dawa.
Magonjwa mengi, kama vile mafua na fluu hupona bila ya dawa.
Ili...
Ndugu wana JF,
Kuna maarifa ambayo yakitumika yatasaidia watoto wetu wa kiume kuepuka aibu ya ndoa zao ukubwani. Hii nimeipata uarabuni na umasaini.
1. Mtoto wa kiume akizaliwa baada ya miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.