Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimeikuta mahali. Inasemekana kuna homoni maalumu inayohusika na mihemuko pamoja na uwezo wa kupenda, swali ni je kuna wale watu wasiopendeka ina maana hawana homoni hiyo au kuna tatizo lingine?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari kuna rafiki yangu anaumwa ugonjwa huu leo imepita mwezi . Tumienda nae hospital wakampima wakasema ana minyoo ya aina mbili :- [emoji117] MINYOO YA AMIBA [emoji117] MINYOO YA KICHOCHO...
0 Reactions
134 Replies
18K Views
Je kunaukweli kuwa mwanamke ambaye tarehe zake za hedhi zikiwa hazipo katika mpangilio mzuri anaweza kutopata ujauzito?
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Siku hizi kila mtu anajua dawa hata kuliko wahudumu wa Afya wenyewe sikatai ni kitu kizuri kuonyesha Sayansi imekua lakini Je kujua kwetu dawa mbalimbali inatusaidia au inazidi kutumaliza zaidi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimebaini kuwa watu wanaofanya mazoezi ya viungo huwa wanafurahia usingizi,hii ni kwa sababu viungo vyao huwa laini Kinyume cha wale wasiofanya mazoezi huwa wanapata shida sana kutokana na kusihi...
3 Reactions
4 Replies
759 Views
Heshima kwenu Madaktari, naomba kujua ukomo wa umri wa mwanamke kuzaa. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33. Nimekuwa na uhusiano na mabinti wa umri chini yangu ila wamekuwa wakiniacha kwa...
1 Reactions
20 Replies
18K Views
Wataalamu mi nasumbuliwa na kuota visundo nini sababu na nifanyeje kuvizuia?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaaam wana Jf Ni langu tumaini kwamba mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku. Leo naomba tufahamishane kazi ambazo zinawezwa kufanywa na OLIVER OIL.
1 Reactions
36 Replies
39K Views
Jamani kuna mdudu (anafanana na mnyoo) anaye kaa kwenye mboga za majani pia huyo mdudu hafi kwa kupikwa unashauriwa kuosha mboga za majani kwa chumvi na maji ya uvuguvugu maana ni mdogo anaganda...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu habar ya majukumu. Leo nimejitokeza katika jukwaa hili ili mnipe reasons za kitalaama na hata wenye uzoefu juu ya mkasa huu. Girlfriend wangu nilikua nae tarehe 12 na tuli sex but kabla ya...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Je Kuna uwezekano wowote Juu ya Mwanaume kutoweza Kutungisha Mimba Maisha yake Yote?
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Inapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na kukubaliana katika jambo moja, ni mhimu kudadisi juu ya jambo hilo. Ingawa nyakati za sasa tunazungukwa na...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani natafuta dawa ya vidonge vya kalonji inayotokana na mmea wa black cumin. Mwenye kujua nitaipata wapi tafadhali anijulishe.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari na poleni na majukumu yenu, Ndugu zangu nahitaji meno ya bandia, mimi nipo Dar wapi naweza kupata? mwenye kujua yanapouzwa na kubandikwa anijulishe plz!!
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naumia kiuno,kinauma sana hata kutembea siwezi.
0 Reactions
2 Replies
782 Views
kwa yeyote anayeijua dawa lishe wapi naweza ipata kwa hapa dar anijuze tafadhali, siyo unga lishe tafadhali ni dawa lishe!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni ufafanuzi wa kina ndugu, maana ni siku ya 3 leo shemeji/ wifi yenu analalamika kasi ya mtoto kucheza tumboni imepungua.
0 Reactions
6 Replies
35K Views
Nina matatizo ya meno sasa nimesha ng'oa 4 ila kuna moja liko sehemu nilisha ng'oa 2, kuna siku Dk alisema kwa sababu ni ya chini, ya juu yanaweza kushuka je kweli na kuna yeyote alisha wahi ng'oa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Salaam wakuu Juzi nlienda clinic lkn ni tofaut na niendayo siku zote,nest kamikaze kunipima tumbo akaniuliza ulishawH piga ultrasound nikamjibu eeh akaniuliza tena je uliambiwa una pacha...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom