Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba...
Toka naanza kupata
ufahamu, moyo
umekuwa ukihusishwa
na mambo mengi kama
nilivyoyaoredhesha hapo
juu. Nilipoenda shule
katika somo la biologia
ni nikajifunza kwamba
kazi ya moyo ni ku-pump...
UPDATE
Nashukuru kwa msaada wa ufumbuzi wa baadhi ya watu na kutokana na ushauri wa baadhi ya wadau nimeaona niondeo hivi vipimo ko nashukuru kwa maelezo na ushauri pia.ahsanteni sana!
Jamani waungwana naombeni msaada,
Kwa madaktari nimetoka hospital na wife wangu tumepima vipimo vyote tuko poa ila tatizo kwenye blood group yeye ana O negative na mimi nina B positive kwa...
Najichukia sana huu mwili wangu nimekuwa linene libayaa!
natamani kujipunguza ila sipungui, natamani kujinyima kula ila nachoka inabidi nile japo kidogo.
Asubuhi nilikula chapati mbili na chai...
1.Yogurt inakusaidia kupunguza uzito maeneo ya tumbo.Kula angalau 18 ounces a day na utapungua atleast a jeans size. Inasemekana Kuwait watu wanaokula yogurt wanapunguza asilimia 22 zaidi ya watu...
Salamu sana wana jamii wote.
Nitakuwa sijawatendea haki wamiliki wa hosp ya Kairuki iwapo nitakaa kimya.
Iko hivi, hii wiki niliugua homa kali ambayo ilinilazimu kwenda hospital. Kwa kuwa...
Habarini wadau wenzangu
Mm nina tatizo la kuumwa kwa unyayo na kisigino sana yaani unauma nashindwa hata kutembea vyema, nimetumia mafuta ya karafuu lakini tatzo liko palepale yaani inauma...
Hello JF
kwa wale wanaohitaji supplements za bodybuilding sasa zinapatikana,price laki 3, kopo zima for ( Whey Protein, Mass Gainer, Multivitamin and More)
special kwa waliokuwa na plans za...
Yawezekana ni tatizo la muda mrefu lakini kwa siku za hivi karibuni UTI imeonekana kuwa ni janga tena kubwa kwa wana wa kike hasahasa walo katika "teen age" ....
Mahali fulani shule ya sekondari...
Habari za mchana wakuu kuna tatizo limenitokea kama mwezi mmoja hivi kinywa kinakua kikavu na kupoteza ladha then nakua na test mbaya mdomoni ni ugojwa gani huu? na nini Tiba yake? msaada tafadhali.
Wakuu salaam.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaumwa malaria kali,ikabidi awekewe catheter kwani alikuwa hajitambui. Baada ya siku mbili alitolewa huo mrija na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Lakini wakati...
Wana JF,
Nataka kupata mtoto wa kiume tu, kwa sasa mimi na mke wangu tuna mtoto mmoja wa kike, sasa nataka wa kiume, sasa swali langu je nifanyaje?
Msaada plz nifanyaje nipate mtoto wa kiume?
Je wajua kuhusu maungia ya mifupa /joints kuuma
Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yo yote ya hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba...
Kwa taarifa yako :
Nyoka hawezi kudhurika kwa sumu ya nyoka mwenzake. [emoji216] [emoji216]
Haya kazi kwenu Madokta,
Ndukii [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
•Ni KINYWAJI LISHE kitamu kilichotengenezwa kwa viungo asili 174 kama matunda,mitishamba,mbogamboga,mizizi na madini
•KINYWAJI LISHE hiki ni matokeo ya utafiti wa wanasayansi uliofanyika kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.