Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Heshima kwenu wadau, Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 31 ninasumbuliwa na tatizo hili;- Wiki mbili zilizopita kuna siku nilitembelewa na girlfriend wangu ambaye tunaishi mikoa tofauti...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Habarini wanajamvi, Sijui niliite ni tatizo maana siyo kawaida yangu. Hii tabia imenianza hivi karibuni, ninapatwa na kiu kali sana ya maji ya kunywa mara kwa mara, naweza kunywa maji ya kutosha...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Kama tunavyofahamu, nchi yetu ina aina mbalimbali za nyoka ambao pindi wakimuuma mtu huleta madhara mbalimbali ya kiafya. Aidha tunafahamu kwamba tatizo hili lipo zaidi katika maeneo ya vijijini...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kumekuwa na taarifa nyingi kuhusu athari za matumizi ya diclopar /diclofenac na tungeomba kujua msimamo wa serikali yetu kuhusu jambo hilo na pia kama kuna ushauri pia wa word health organisation
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini Za Humu, Binafsi nina muda mrefu kidogo tangu nijiunge na mtandao huu na kwa sababu hiyo ninafahamu angalau tabia na misimamo ya watu wengi humu. Kwa survey ya haraka haraka humu ndani...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
=Nawasalimia humu ndani. Nisaidieni jamani tatizo la kurithi', Tatizo langu ni la siku nyingi kidogo. Nasumbuliwa na UTI na maumivu makali upande wa kulia na kushoto mwa tumbo, mara nyingi pia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Makamasi na makozi yanakujaje na yanatokea wapi? Je! Yanatibika?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada ninakipele juu ya uume hakiumi ila kinanikera kwa kuwepo tu na nimekionaa leo hii sa sijui nini tatizo naombeni msaada
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wasalaam wanajf wenzangu natumai mu wazima mpo katika ratiba zenu kutekeleza majukumu ya kila siku... Awali ya yote napenda kumpa pole Mwana Bwiru Boys mwenzangu na mmoja kati ya waasisi wa...
0 Reactions
47 Replies
20K Views
Habari? Naomba kujuzwa kama kuna dawa zinazoweza kung'arisha meno kabisa na kuondoa stains kwenye meno au njia yoyote ambayo ni salama kwa afya. (Meno yenye uchafu kama kutu hivi) Asante
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
kwa nini wagonjwa wa cancer (through my experience) wamekua wakinyoa vipara? Hii ina maana gani?..msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
881 Views
Habari wandugu! Mimi ni mwanaume, niko na mchumba ambaye tunaishi kwa umbali mrefu sana kutokana na bado kutokua mke wangu, hivyo huwa tunakutana kwa masiku tu. Sasa kilichonishangaza na kuomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, naomba kuliza hivi inawezekana mwanamke akaingia hedhi na still bdo akawa ana mimba hasa kwa wiki za mwanzo??
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 26 sasa. Sijashiriki ngono tangu nijitambue (nikue). Ninakumbuka mara ya mwisho kufanya hivyo nilikuwa na umri wa miaka 14. Je, jambo hili...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwa anayefahamu, taratibu za kupata kitambulisho kipya cha bima ya afya NHIF kama umepoteza cha zamani. Msaada plss ( aliyepoteza ni tegemezi)
0 Reactions
8 Replies
3K Views
(1) Ukila Tunda la Apple Aka Tufaha Hutoweza Kumuona Daktari. (2) Ukinywa Maji Kwa Siku Lita 3 Hutoumwa na Maradhi Yoyote Siku nzima. (3) Ukila Limau Moja Kwa Siku hutoweza kunenepa na hutokuwa...
11 Reactions
15 Replies
3K Views
Jaman msaada nna u.t.I mwaka wa pil huu inanisumbua nikitumia daw za hosptali inajirudia
0 Reactions
93 Replies
20K Views
Umewahi kutumia vipodozi kutibu chunusi au tatizo jingine na kukosa matokeo unayoyataka kisha ukabadilisha na kuanza kutumia vya aina nyingine? Hujawahi kumuona mtu mwingine akifanya hivyo? Bila...
0 Reactions
0 Replies
36K Views
Mimi nasumbuliwa na kichwa na mwili unachemka sana na hata nguvu sina, hili tatizo limeanza Muda mrefu, nimehangaika hospital kubwa kila nikipima majibu yanakuja sina tatizo na mimi najiona naumwa...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom