Nimekaa kwa muda mrefu sana nikawaza ni njia zipi huwa zinatumika kupima ini na figo za uhakikaa maana nataka nikacheck afya yangu kwakweli maana naona dalili za ajabu ajabu.
Mchoro unaoonyesha mapafu ya mwanadamu yaliyoathiriwa na maradhi ya Kifua Kikuu. Picha kwa hisani ya Shutterstock.
Kwa Ufupi
Ni marafiki ambao hawachezi mbali na ndiyo maana siku hizi wagonjwa...
Wana jamvi msaada,leo asubuhi na amka macho yamevmba nakua mekundu yakiwasha na kutoa machoz'na kuna tetesi kwamba mimi sio wa kwanza hata pia jiran yetu nae wiki ilopita alikua na tatizo kama...
Makampuni ya watu yanayotengeneza madawa na vifaa vya matibabu hayawezi kufungwa kwa sababu yako kwa sababu ni biashara pia. Makampuni hayo hayo ndiyo yanayofadhiri tafiti mbalimbali za magonjwa...
habari za asubuhi wadau,,
wakuu Jana sijalala kabisa na Leo hii nimeamka nikiwa na maumivu makali sana ndani ya moyo Wangu,,
Jana nilimpata msichana wa ku DO ,nakaanae nyumba moja sasa...
ALOE VERA
ama Mshubiri ni mmea ambao una sifa ya kipekee ya nguvu ya matibabu kuliko mmea mwengine wowote duniani.
Katika historia ya dunia, Aloe vera imetumika kwa manufaa mbali mbali ya...
Heshima zenu wakuu,
nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.
Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma...
Natibu watu wenye matatizo yafuatayo kwa gharama nafuu sana.
Mawe ya kwenye mfuko wa nyongo bila upasuaji.
Mtu kutokwa na jasho jingi muda wote, bila sababu maalum. Matokeo ni ndani ya masaa 48...
Heshima kwenu wakuu
Nina ujauzito wiki 23 na niujauzito wa kwanza,toka nimeshika ujauzito mume wangu amebadilika sana amekua na hasira na kisirani kupita kiasi,hapendi kuoga anaweza kaa siku tatu...
Hakika idadi ya Walemavu inazidi kuongezeka pale Feri upande wa Magogoni.Walemavu hao wamejaa milangoni Na ndani ya Lounge utawakuta wamelala kutokana Na ulemavu wao.In vema Wizara husika ya Afya...
Habari jf,
Wanajukwaa wiki tatu zilizopita nilikua natoa uchafu sikioni kutumia pamba stick, sasa kwa bahati mbaya pamba ikabaki ndani ya sikio, nikaenda kituo cha afya, wakachukua mabomba ya...
Habari zenu wana jf, mmekuwa msaada kwangu kwa mengi sana. Sasa leo tena unisaidie kwa hili, hivi kunenepa mikono zaidi au miguu nini kisababishi? Na nini suluhisho lake? Hasa mikono wadau...
Habari zenu ndugu zangu!
Ni msichana wa miaka 30! nina ujauzito takriban week 6 hadi7! Jana nilipoenda haja nikakutana na vidamu kidogo na leo pia vile vidamu na utelezi kidogo bado vipo! Sio...