Wadau habarini za jioni...!!!
wapendwa nakuja tena mbele yenu, nina mgonjwa wangu amepatwa na tatizo la stroke na yupo hospitali kwa matibabu ila tangu alazwe sasa ana wiki moja isipokuwa...
Habari wanaJF, nimeanzisha website ya mambo ya afya ambayo nipo wa mtaaalam wa mambo ya afya kwaajiri ya articles . Karibuni sana kwenye website hii kwa maoni zaidi. Nipo bado kwenye...
FAIDA ZA TANGO
1. Kuzuia kisukari, kuboresha mfumo wa damu na kuondoa kolesteroli mwilini.
2. Chanzo kikubwa cha Vitamin B.
3. Kusaidia kutunza ngozi.
4. Kuongeza maji mwilini.
5. Kukata hangover...
Mara nyingi inakutokea baada ya kuugua homa mfano malaria kali, umelala kitandani siku mbili, siku ya kwanza ulishindwa kula kabisa, baada ya kutumia dawa ulitoka jasho sana, na sasa unasikia...
Wasalam wana JF ...
Kila niamkapo either alfajiri au asubuhi hukuta uume ukiwa umesimama.
Swali: Je pana siri gani ama mahusiano gani ya hiyo "erection" kibaiolojia, kisaikolojia au vnginevyo?
Habari wana jf.
Nimepata ufumbuzi wa tatizo la uke kuwa mkavu sana na mwanamke kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Fanya hivi.
Kila siku asubuhi na jioni chukua kijiko kimoja cha asali...
Wataalamu naombeni msaada nina mama yangu hapa ametapika sana usiku huu.haumwi na chakula alichokula ndiyo tumekula familia nzima,isipokua kwake yeye imekua tofauti katapika sana.
Ila pia tatizo...
Habri jf doctor.. .naomba msaada jamn waungwana kabla sijachukua hatua ya kwenda kumwona dr..ni hiv yapata kama wiki hiv jicho la upande wa kulia pembezon kabisa kwenye hi kuta za kope huwa...
Vipi wadau,mimi ni mwenyeji wa arusha mjini, naomba mwenye kufaham hospitali ya private hapa arusha ambapo ntaweza kufanya full body check up...na gharama pia kama utakuwa na idea...
Sababu ni...
Darasa la leo tarehe 25/03/2016 kama kawaida linawahusu hasa hasa wale wajawazito na wanaotaraijia kua wajawazito
MADA NI:FAIDA NA HASARA ZA KUFANYA TENDO LA NDOA WAKATI WA UJAUZITO
WAKATI GANI...
Nguvu kubwa ya kichinichini inatumika kutangaza dawa za makampuni mbalimbali yanayouza dawa za tiba mbadala kwa bei ya juu sana zisizo na maelezo ya kina kutoka serikalini kuhusu ubora na uhalali...
Jamani ikishatungwa mimba ya bin Adam au mnyama,nani huamrisha :-
sasa vidole ,ubongo mifupa utumbo,macho masikio nk nk.....
Vianze kujipanga?
Ni "operating system" gani hutumika?hasswa kupachika...
Habari Jf Doctors.
Mwanzoni mwa jumatatu ya wiki hii nilihis maumivu ya tumbo (bila kunguruma) ila lilikuwa linauma kiasi cha kushindwa kuendelea na kazi, nikachemsha maji nikanywa pamoja na...
Aisee wana jamvi kuna hili tatizo la ndugu yangu yeye miguu inamuwasha hasa kwa upande wa nyuma ya miguu mpaka unyayoni na kakijikuna panakuwa kama panawaka moto.
Najua humu kuna madocto na watu...
Tafiti Mpya: Mwili wa Binadamu hauhitaji wanga kabisa - (0%)
HII Ni Tafiti Mpya: Mwili wa Binadamu hauhitaji Vyakula vya aina Ya Wanga kabisaI
HABARI NJEMA KWA WASIOPENDA UNENE NA WANAOTAKA...
Habari za asubuhi wapendwa mimi niko dar hapa ila nina mdogo wangu anasumbuliwa na moyo watu wamenishauri nimpeleke muhimbili na kwa pale sina uzoefu nianzie wapi kama kuna doctor hapa yuko...
Habari zenu waungwana,
Naomba kwa mwenye kufahamu dawa nzuri ya malaria sugu inapopatikana anielekeze na anitajie na jina la hiyo dawa mana huwa nasumbuliwa na Malaria ya mara kwa mara mpaka...
Habari wana jamvi Kuna hili swala ambalo najua sio geni miongoni mwenu na pia nimelisikia kwa muda toka muda mrefu achilia mbali kulishuhudia.
Ni kuhusu mama mjamzito anapopata tu hiyo mimba...