Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau, Nasumbuliwa na tatizo la ngozi ya uso kubabuka au kupauka yaani nikipaka mafuta baada ya mda unapauka sijawah kutumia mkorogo wa aina yoyote nlienda phamacy wakanipa cream ya kujipaka ila...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Moja ya maajabu yanayowashangaza wanasayansi ni ukweli kwamba kipindi cha ujauzito ubongo wa mwanamke hupungua size yake na kusinyaa, hali inayopelekea pia kushuka kwa IQ ya mwanamke. Kutokana na...
6 Reactions
20 Replies
5K Views
Utangulizi; Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu kama bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na mcharuko mwili...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
I hope nyote n wazima napenda kulileta swali hili kwenu wataalam wa mambo.... Mvulana akiwa ana sexyy alafu ikafka hatua ya ku ejaculate akaamua kujibana ili msicha aanze yeye je? Kitendo cha huyu...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Nina misuli mingi mingi mikononi hadi nakosa amani na nashndwa kuvaa shati la mikono mifupi hasa kipindi cha jua kali (mchana) Mwenye kujua kama kuna mafuta ya kupaka au dawa za kutumia ili...
0 Reactions
40 Replies
12K Views
Ukiwa una fanya tendo la ndoa na Mkeo inatakiwa ukae mda gani kwakila goli moja hadi lingine kitahalam Kwa mtu asiye na Tatizo kabsa. Yani yupo fresh.
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Tofauti na watu wanavyofikiri kuwa chumvi ikiwekwa kwenye kidonda husaidia kuponya kidonda haraka na kukisafisha kisikaliwe na bacteria, lakini tafiti na uzoefu unaonyesha sukari ina nguvu ya...
4 Reactions
3 Replies
19K Views
Habari wakuu nasumbulia na maumivu ya gesi tumboni chini ya chembe.nitumie nini nijisikie nafuu!
0 Reactions
8 Replies
25K Views
Wanajf mimi nasumbuliwa na macho kwa muda mrefu.Yanawasha mara kwa mara na ni mekundu.Nimefika mpaka CCBRT wakanipima na kusema yamejaa vumbi ila kwa madawa waliyonipa wakadai yatanisaidia sasa ni...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Mhusika alitumia kwa ajili ya kuondoa makovu usoni. Ameipenda na angependa kununua zaidi sema amegundua kuwa hapo wanapouza wanalangua bei (wanauza bei kubwa mno) ukilinganisha na bei yale halisi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Members, I am looking for a dermatologist in TZ, preferably in DSM. My child has got skin problems
0 Reactions
1 Replies
781 Views
MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA AFYA YAKO SOMA.. USIPUUZE.!! Azam Company ni kampuni inayorisha watanzania na nchi nyingi kusini mwa jangwa la sahara.. Mzee wetu huyu amekuwa msaada mkubwa...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Hallo wataalamu/Drs...tusaidiane juu ya hili. ni kipi kinachosababisha maumivu makali wakati wa kujifungua? Ni Pathophysiology/mechanism gani yahusika hapo?? Karibuni kwa michango.
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Wana jukwaa nawasalimu. Kuna kitu kinanitatiza kidogo kuhusu kidole kuvimba maarufu kama mdudu. 1. Je uvimbe wa kidole kutokana na mdudu unasababishwa na nini hasa? 2. Ni nini tiba mbadala ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna ukwel wowote hukusu kama mke wako akiwa mjauzito mume wake akajisikia vibaya kutokana na mimba ya mke wake ( kijisikia vibaya ,mwili kuchoka ) na kama kweli tiba yake ni nn?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni wa kiume ametimiza mwaka na miez 2, anatembea tayari. Sasa yapata wiki ya pili anaharisha. Mwanzo aliharisha kitu kama mafuta, sasa hivi bado anaharisha kweli kweli. Dawa bado hazisaidii...
1 Reactions
4 Replies
848 Views
VYAKULA VINAVYOONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA Vyakula tunavyokula vinachangia sana chemistry ya miili yetu kuhusiana na suala la hamu ya mapenzi (libido) PILIPILI Kama tunavyojua wote mara nyingi...
1 Reactions
52 Replies
42K Views
Wana jf ni staili ipi nzuri ya kumueka mwezi wako kipindi cha tendo la ndoa ili kuepuka kupizi mapema?
0 Reactions
36 Replies
13K Views
Wakuu naomba kufahamishwa hili suala, Tabia ninazozizungumzia hapa ni zile za kurithi au za kibailojia. Udogoni niliwahi kuumwa sana mpaka kupelekea kuongezewa damu na jamaa mmoja wa familia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, nimeshango'a meno 3 na sasa mawili tena yameliwa, mawili nimeziba, naona sasa nitapoteza yote. Naomba mwenye kujua tiba kamili na yenye mafanikio tafadhali.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom