Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwanini nikimaliza kufanya sex tumbo linaniuma? Nifanye nini ili lisiwe linauma nikimaliza? Msaada please.
1 Reactions
39 Replies
8K Views
SIRI imekuwa wazi: SARATANI si ugonjwa bali BIASHARA! HEALTHBY NEWSRESCUE. SEPTEMBER 23, 2016. *Na Profesa Nandita deSouza kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge*: Neno kuitwa saratani ni uongo ...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Nina tatizo la kupanuka kwa moyo Je in tiba gani sahihi kutumia,na ushaur kwa ujumla
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wapendwa naombeni kuuliza ivi Kuna tiba ya kuondoa matege kwa mtu aliefikisha miaka 18 tear? Msaada pliz
1 Reactions
4 Replies
10K Views
Kwanza habari zenu wanajamvi wote Kwa ujumla.Mimi Nina tatizo la kuishiwa damu Kwa baba yangu yaani damu inamuisha tuu Na kila baada ya week Tatu au nne anabidi aongeweze damu. Tulikwenda kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu... mara kadhaa huwa napitia matatizo fulan na huwa natamani hata kulewa ili angalau niyasahau kwa muda mfupi. Lakini sijui ni tatizo au ni faida... kila nikinywa pombe kiasi chochote kile...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Habar: je nimatatizo yapi yatamkuta mvulana anaependa kuangalia videos za porn......Na je? Ni bora porn kuliko punyeto????
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naijisikia hali ya kichefuchefu pindi nikishamaliza kula chakula,nimeshatumia dawa mbali mbali za hospitali ikiwemo za minyoo lakini bado,.Mimi ni wakiume.Naombeni maoni.Hali hii inanitesa siwezi...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Jamani naombeni mnisaidie mahala ninapo weza kupata hizi dawa zinazoweza kumuongezea mwanadamu urefu kama kuna yeyote anae fahamu naomba anijuze
2 Reactions
41 Replies
9K Views
Hivi ni sahihi kumpa mtoto dawa ya minyoo kisa hujampa hiyo dawa siku nyingi au ni mpaka akapimwe?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu Yang Anakipara Angali ni bado kijana..hivyo basi anauliziaa je Kuna dawa zozote za asili au mitishamba itayomsaidiaa coz hakipend katika ujana wake pia anapenda Timberland lkn hana vp anaeza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF Napenda kuuliza nini madhara kwa mwanaume au faida ni zipi pale mwanaume anakaa muda mrefu bila kufanya mapenzi yaani kukutana na mwanamke kimapenzi. Ukiacha zile za kusave hela...
1 Reactions
13 Replies
60K Views
Habari Wadau! Kama title inavyojieleza hapo Je MTU anaweza kunywa yai bichi au ni lazima likaangwe ili kupata virutubisho vyote vilivyopo ndani?
0 Reactions
31 Replies
16K Views
Wakuu Nisipotimiza malengo yangu niliyopanga nakuwa stressed sana sijui sababu nini mfano nikipanga naenda kukimbia kilomita tano nikaishia mbili nakuwa stressed hadi sijielewi,pia nikipanga...
0 Reactions
1 Replies
577 Views
Kwa wataalam naomba kujua nna michubuko midogo midogo Kwenye lips zangu inachoma choma mithili ya pilipili. Je Ni ukosefu wa nutrients flan pia tiba yake ni nini tafadhali
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu wa nchini naomba kuuliza hivi, hivi kuna mtu ambaye ameshawahi kutumia Dawa za asili na kupona huu ugonjwa ,please kama yupo naomba tuwasiliane please. Maana nimezunguka kwa watoa huduma ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada wa ushauri au tiba kwa anayejua Ninaye kaka yangu, tangu akiwa mdogo hakuwahi kupatwa na tatizo la kuzimia Tatizo ili limejitoka kwa mwezi huu imetokea mara mbili, na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Lucky Choi has been thinking about making music again. He’s played piano, at times professionally, his whole life. But he stopped composing original pieces in the early 1990s. The last time he...
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Kuna jamaa yangu jana aliniambia kuwa mafuta ya mamba ni dawa ya vidonda vya tumbo, kuna jamaa yake alipona kabisa vidonda vya tumbo. Kuna raia huu ndani alishasikia kitu kana hiki au alishajaribu...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Wanajukwaa habari za muda, Naomba msaada wenu nawezaje kupunguza mwili na tumbo, ukizingatia nakuwa bize sana kweny kazi. Nakuwa na muda mchache sana nakuwa free. Msaada wenu wa mawazo...
3 Reactions
25 Replies
8K Views
Back
Top Bottom