Hii njia ya kufanyiwa massage sehemu zenye mafuta, nilioona nchi fulani nikiwa safarini, gharama yake ni kuanzia $200 kwa session moja na session inachukua li saa. Ukiingia unapewa pichu...
Hivi kuna uwezekano wa mwanamke kupitiliza muda wa hedhi hata kama tarehe husika imefika?kupitiliza huko kukafikia hadi wiki 2 mpaka 3..naombeni maelekezo wataalam
Kwa asili sehemu ya siri ya kike yenye afya nzuri inapaswa kuwa na harufu kali na mazingira ya utelezi yasiyomtamanisha mtu kuyaramba wala kunusa hata kidogo. Hii inatokana na kwamba haitakiwi...
Jamani mwenye kujua dawa ya Driclor inapopatikana kwa Mbeya na Dar anijuze ni maduka yapi maana nimetafuta hadi nimechoka. Kila nikienda dukani wanasema labda ni jina la kampuni.
Naomba nisaidiwe...
Wanabodi,
Imekuwa kawaida sasa kwa wazazi kuwa kazini muda mwingi zaidi ya nyumbani. Kinachofuata ni kupishana na watoto na kuacha jukumu la malezi kwa dada wa kazi.
Mtoto anahitaji malezi ya...
Habari zenu wakuu
Ivi kuna madhara yoyote yakitabia na kisaikolojia au kimahusiano anayopata mtu aliyelelewa na mzazi mmoja labda mama peke yake au baba peke yake,ni jinsi gani kukabiliana nayo...
Habari wakuu..,
Kwa muda mrefu sana labda tokea huko tunakuwa..nimekuwa nikisikia ukila tango na asali pamoja unakufa. ..kwa mwenye utafiti anifahamishe
salaam wadau, baada ya hofu na kukwepa kwepa kupima mdudu kwa zaidi ya miaka 18 hatimae jana nimepima na nimejijua nipo kundi gani, sasa hivi naishi huku nikijijua, ila jamani kupima huyu mdudu...
Ndugu wana JF Doctor amani na iwe kwenu,
Mimi ni kijina mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo moja, nikitumia condom katika mambo yetu, jamaa yangu anakuwa weak na kukosa hamu kabisa na kulala...
Hivi ni kwanini mwanamke anapokuwa mjamzito huwaga ana matatizo kupita kiasi?
Mfano anaweza kumchukia mumewe, kula vyakula visivyoeleweka kama udongo, panadol na vitu vingine kama hivyo.
Wakuu,
Nimerudi tena, hivi inakuwaje msichana kabla hujamuandaa mnapotaka kufanya mapenzi anatoka ute ute mwingi sana, mpaka inakuwa hakuna haja ya kumuandaa,? Hii husababishwa na nini?
Habarini wana JF
Nina tatizo naomba msaada wenu,
ni mwezi na siku 5 leo
mtoto wangu tangu azaliwe,
ila shida hadi leo nashangaa hajakauka sehemu ya kitovu chake.
Naomba ushauri wenu kama kuna dawa...
Kuna dhana kwamba ukiwa umelala usiku ukakajikuta umekabwa na kushindwa kabisa kujisogeza ni kutokana na jinamizi, hili jinamizi ni nini au kuna sababu za kiafya zinazosababisha hali hiyo? je kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.