Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Scientists have developed a drug they hope could lead to a cure for HIV and Aids. Reseachers in Israel have identified a protein they claim can reduce the virus in infected patients by 97 per...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow jf,kabla sijabeba ujauzito nilikua napenda sana sex yani nikifikisha mwezi or miezi sijasex hapo nakua na hamu kuliko kawaida but tangu niwe mjamzito sijisikii kabisa yani hata hamu...
2 Reactions
93 Replies
12K Views
Habari waungwana, Jana mke wangu alipata tatizo la kutoona kama dakika ishirini. Naombeni wajuzi watupe elimu juu ya hili tatizo, Leo kaamka anasema mishipa ya kichwa inauma.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Uume unalala ukishapiga bao la kwanza na huchelewa kusimama ili kuendelea na mechi je hili ni tatizo au
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Wapendwa naombeni kuuliza ivi kwa Kuna tiba ya watu wenye tatizo la kutoka Jasho miguuni unyayoni na viganja vya mikononi anisaidie pliz...
1 Reactions
9 Replies
16K Views
Habari wana jf naombeni mnisaide kupata ufumbuzi wa hili swala hivi ni kweli vidonda vya tumbo vinapimwa kama HIV inavyopimwa? Na je kama ukitolewa damu kwa ajili ya vipimo vya vidonda vya tumbo...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamanii eee habari zenu kwanza mimi najishangaa sana siku hizi kila kukicha najiona tofauti kabisa kwanini? Niingiapo kibaruani kwangu mwili unaishiwa nguvu kabisa uchovu mwanzo mwisho Sasa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CytoDyn Inc. announced in a news release last week that its ongoing extension study of PRO 140 monotherapy has shown “complete viral-load suppression” for well over a year, with some patients...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Wana jf naomba mnisaidie nina rafiki yangu tatizo lake ana harufu ya mdomoni na mswaki anapiga kila siku ila harufu haiishi na ni kwa muda mrefu naomba kwa ambaye anafahamu dawa ya kutokomeza hili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Watu wengi tunaishi tu kwa mazoea nadhani, Jana kuna jirani yangu ni mkorea alikuwa anasafiri leo asubuhi usiku alikuja kuniomba msaada flani akanikuta naoga ilikuwa saa tano usiku hivi. Leo...
2 Reactions
40 Replies
7K Views
Naumwa uti nikipewa dawa namaliza nikienda Pima bado nina uti shida Nini?
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Nina tatizo la Meno. Meno yangu hayajapangika vizuri, kiasi kwamba yanaathiri muonekano wangu. Naomba ushauri jinsi ya kurekibisha tatizo hili. Nimeona watu wakiwa wamevaa nyaya kwajili ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nilikua naona aibu kuzungumzia hili jambo mpaka ilivonizidia,sijajua kipi haswa kinapelekea mpaka inakua hivi ila ghafla tu jana nimefika nyumbani na hii hali kuanza.Kwa anaye jua tatizo Doctors...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Habari zenu wapendwa wa jf jaman hivi Kwa yeyeto mwenye utaalamu na magonjwa ya tumbo msaada tafadhali tumbo linauma chin ya kitovu na ni katkat si kulia wa upande wa kushoto
1 Reactions
5 Replies
30K Views
Ulaji wa sukari kupita kiasi unahusishwa na kuongezeka kwa unene, uzito kupita kiasi, ugonjwa wa kisukari cha ukubwani (aina ya pili), magonjwa ya moyo, baadhi ya saratani, kuoza kwa meno na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnisaidie tatizo la meno yanatingishika lakini hayaumi inaonekana yamelegea. Tatizo ni nini na dawa yake nini ili yawe imara tena? Wale mliozoea jokes na kejeli hebu mtulie nahitaji...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wanajukwaa, jamaa yangu wamemcheki ana UTI akapatiwa dawa inayoitwa Norfloxacin lakini ametumia kidogo ameona hata dalili ya kupona hamna ameshauriwa na watu wengine kuwa atumie...
1 Reactions
40 Replies
24K Views
Salam zenu wakuu,Ni sababu gani zinampelekea mwanamke kupata maumivu ya ndani ya tumbo(kama mshipa) wakati wa kuingiliwa??hasa wakati wa kupump,Msaada tafadhl
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanini mwanamke huchunika ukeni wakati wa kujamiana?
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Sabakheri Wadau; Kuanzi Wiki Jana Nimeanza Zoez La Kukimbia Asubuh Na Jion 10 Km Kupanda Mlima Wa Mzumbe Ndani!!! Sasa Kama Kawaida Kunakuwaga na Yale Maumivu Ya Misul! Yaan Inauma Mbaya!! Leo...
1 Reactions
10 Replies
12K Views
Back
Top Bottom