Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakina dada kuwekeni makini na vipodozi vyenu mnavyotumia... Madini chuma aina ya lid yanayopatikana kwenye vipodozi hivyo zaid ya 650 ni hatari sana tena sana, (kwenye rangi za kucha, kuset...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
✍️
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Natumai mu wazima wa afya. Naombeni msaada wenu tafadhali ni sababu zipi husababisha kiuno kuuma mara kwa mara hasa nyakati za jioni kwa mjamzito wa wiki kama saba hivi. Tatizo hili limedumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau hamjambo?Nina vijana wangu wa kazi za shamba wawili.Bahati mbaya wote wana malaria na nikawapa hela wakanunue dawa.Bahati mbaya walikwenda maduka ya dawa tofauti. Duka A. Mhudumu anasema...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu habari za muda, Tangu juzi nimekuwa na hofu iliyopitiliza bila Sababu.Naweza kuwa na tatizo gain Msaada wenu plz
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa haya matokea ya kipimo cha FBP. yana maanisha nini. Je kutumia matokeo haya daktari anaweza kujua mgonjwa anaumwa nini?
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Salareeeeeeeeeee!!!!! Ndugu zangu tu_share mbinu kidogo za kuongeza confidence na discipline tuwapo kitandani. Chukua mzizi wa mpapai uoshe, utwange na kisha uchemshe hakikisha unabakiza glas 3...
0 Reactions
16 Replies
33K Views
Wakuu habari zenu Leo kuna rafiki yangu kanifata akaniambia anakumbwa na tatizo la kukosa msimamo leo akiamua hili kesho anaamua jambo anaona linafaa kesho anabadili na hawezi kusimama peke yake...
0 Reactions
1 Replies
632 Views
Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa wanaume wengi wako kwenye hatari kubwa ya kuapwata na matatizo ya uzazi kutoka na kulala sana au kulala chini ya kiwango kinachotakiwa. Kwa kiwango...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
KUNA magonjwa mengi yanayosababisha mtu kukojoa udenda (usaha), uume kuuma au kuwasha wakati wa kukojoa. Magonjwa yanayosababisha hali hiyo kwa sana ni pamoja na klamidia (chlamydia), kisonono...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Nimegundua wanaosomeshwa number bila huruma sio watumishi wa umma,watumishi tunasomeshwa number lkn afadhar ukifika mwisho wa mwez kama jana wameweka kamshahara kao kasikokuwa na ongezeko pamoja...
1 Reactions
2 Replies
651 Views
naombeni ushauri mwanangu ana mwaka na mwezi mmoja. anapenda sana maziwa ya mgando, Je !ni mazuri kwa kunywa mtoto ? hayana shida, au niache kua nampa
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Hivi karibuni nimesikia watu wakidai kutibu HIV/AIDS. Nikarusha uzi siku chache zilizopita wenye kichwa KUPONA UKIMWI. nilipata mawazo ya watu. Katika somasoma nikakuta uzi ukijadiliwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Eti wanajamvi madaktari bingwa eti inawezekana binadamu akapata stroke sehemu moja pekee mfano kichwani/ukeni/uumeni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari za mda huu.. Nahisi nmepata mfadhaiko 1.nina hofu iliozidi 2. najisikia kizungu zungu mno 3.. uchovu mwingi mda wote 4. sina hamu ya kula,japo najisikia njaa 5. mdomo unakauka muda wote 6...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Habar wana JF: Wataalam wa mambo naomba msaada wenu hapa: Cholera (kipndupndu) ni ugonjwa unao sambazwa na Bacteria wajulikanao kama Vibro-Cholera ...... Tafsri ya ugonjwa huu huwapata wale watu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wana JF polenii na majukumu na miangaiko ya jumapili ya leo.Nimekuja JF Doctor kutafuta, hasa kunijuza naweza wapi kupata dawa ambayo itamsaidia mtu aliyekuwa mvuta sigara na mtumiaji wa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom