Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Huu pia sio uzi wa lugha, unaingiliana sana na siasa. Ugonjwa wa Kansa, au Kensa, au Saratani, unatajwa hivyo na wazungumzao Kiswahili kana kwamba ni ugonjwa wa kigeni kutoka nchi za mbali...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1132537/ ugavi ni nini
0 Reactions
0 Replies
748 Views
habari Zenu ndugu,. kama kichwa cha habari kinavyojieleza...nimekuwa nikitokwa na damu ( siyo nyingi lakini) kila baada ya sex au katikati ya tendo..na ninakuwa nishamaliza period like a week or...
0 Reactions
106 Replies
31K Views
Naomba kuelimishwa kitu kimoja maana hali nitete kwa ndugu yangu na familia yake. Ni hivi wao wote wawili group lao la damu ni B+. Sasa mkewe amejifungua mtoto kapimwa damu Ana group O hii...
1 Reactions
4 Replies
785 Views
habari wana jf nilikuwa ninaomba ushauri au mwenye kujua tatizo la kutoka damu puani huwa linasababishwa na nini? nina dada yangu ana tatizo la kutoka damu puani ila hilo tatizo halijaanza muda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za muda huu.... Kuna tatizo limenipata wakati wa kutafuna kuna upande wa mwisho wa mdono kuna kanyama nakang'ata hivyo inanifanya nishindwe kutafuna vizur nilipokwenda uospital walinambia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa na kuhusu ukidume na urijali wangu sina shaka kabisa... Ila nina tatizo la kulia(machozi kunitoka) bila sababu ya msini, hali hii hutokea...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani habari za humu Jf Naomba kwa anae fahamu nnini kina sababisha mtu kupatwa na mshipa,busha au jilimaji?Chanzo chake na tiba na jinsi ya kuzia Asanteni sana
1 Reactions
12 Replies
10K Views
Hbari za jioni ndugu zangu. Naombeni mnipe elimu kuhusu blood group O-/O+ na rhesus factor zake - na + Kuhusu 1/Magonjwa yote yanayomkumba binadamu. Nimesikia watu wenye hili kundi la damu...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Tatizo la kupata maumivu baada ya tendo la ndoa kwa wanawake
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari! Kumekua na uwepo wa vituo vitoavyo tiba mbadala nchini, ningependa fahamu kama hawa watu wanatibu magonjwa ya akili au wana limit ya magonjwa wanayoweza kuyatibu? Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msada wa kujuzwa dawa ya jipu bila ya kupasuliwa yani lipotee lenyewe asanteni
0 Reactions
15 Replies
7K Views
kuna tatizo la jibu matakoni,limepasuka antibiotic ipii inafaa kukausha kidonda hiki fasta.. msaada please ..
0 Reactions
16 Replies
37K Views
HESHIMA KWENU WAKUU KUNA MWENYE UFAHAMU NA DAWA HIZI NA ZINATIBU MATATIZO GANI?.JE NAWEZA ZIPATA WAPI? Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Unapolala sehemu kubwa ya mwili inakuwa imepumzika, viungo vinavyoendelea kufanya kazi katika mwili ni moyo, diaphragm na macho pamoja na kuwa yanakuwa yamefumbwa. Mwili unahitaji oxygen ili...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
NAOMBA MSAADA KWA ANAEZIJUA DAWA(SUPPLIMENTS) ZIITWAZO"GELATINE CAPSULE" ZINATIBU MAGONJWA GANI NA ZINAPATIKANA WAPI? NATANGULIZA SHUKRANI.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni,mm ninasumbuliwa na tatizo la kuona kitu kinanivaa na wakati nabisha nacho napoteza fahanu na kuanguka kama mzigo,na nikiamka nakuwa sina kumbukumbu yoyote mpk zipite kama dkk...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni Naomba kwa anayefahamu aniambie ni dawa gani naweza kutumia ili niweze kupona kidonda kilichopo kwenye ulimi. Sio mara ya kwanza kunipata na huwa natumia maji ya chumvi kusukutua...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
"Men have nipples because everyone is a female until the Y chromosome kicks in. You were all girl embryos."
0 Reactions
3 Replies
819 Views
Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa mara ya kwanza imefanya upasuaji mkubwa wa kunyoosha mfupa wa mgongo wa mtoto uliopinda (kibiongo) kitaalam unafahamika kama ‘Scoliosis’. Upasuaji...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom