Please Deception nilikutumia PM naona upo busy sana,maelezo yako kuhusu HIV yanahitaji thread maalumu ili tuweze kusoma kuelewa na kuelimisha wapendwa wetu,tafadhali anzisha trhead mpya na...
Habari wana JF,
Poleni na harakati za kusaka mkate wa kila siku.
Mimi ninaomba kufahamishwa vizur kuhusu hili tatizo la kitovu cha mtoto.
Inasemekana eti kitovu cha mtoto mchanga kikikauka na...
Habari wana jf,
Mke wangu ana mtoto wa miezi mitatu 3, hii wiki ya tatu kagoma kunyonya kwa mama yake, akawa anamkamulia kwenye kikombe na kumnywesha lakini bado hataki kunywa, yaani anamnywesha...
Samahanini wakuu, swali langu laweza onekana la kitoto au either lishajadiliwa sana hapa ndani.
Kikubwa ningependa kujua ni umri gani ambapo mimba huweza kuonekana au kusomeka kwenye kipimo?
Anopheles anaaminika ndie mbu jike anaeweza sambaza vimelea vya malaria, nataka kujua je inakuaje mtu anaishi mbali na makazi ya watu/porini lakin bado atapata malaria ili hali hakuna watu...
Jamani kwa mtu yeyote mwenye maoni au ushauri kuhusu namna ya kutibu kiungulia au kitaalamu heartburn, mwanajamii naugua napia najua tuna ndugu na jamaa wanaungua na kuuguliwa. Jisikie huru...
Sarah Knapton, Science Editor
2 October 2016 • 1:13pm
A British man could become the first person in the world to be cured of HIV using a new therapy designed by a team of scientists from five UK...
Wakubwa nawasalimia.
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 25 bado sijaoa na sitarajii kuoa kwa sasa kwa sababu binafsi. Nikifanya ngono au tendo la ndoa huwa natoa manii nyingi sana kwa mahesabu...
Habarini za majukumu ndugu zangu wana jukwaa. Napenda kuwashukuru wana JF wote wanaotoa mawazo chanya juu ya matatizo ya Watanzania wenzao ambao kwakweli wanakuwa wanahitaji msaada.
Baada ya...
Story:
"10000 times stronger killer of CANCER than Chemo".. do share it.. can save many lives, fill up hopes and build confidence in the patients...
The Sour Sop or the fruit from the graviola...
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka...
Habari zenu Jf Drs na wengineo,
Naombeni mnijuze kwa undani zaidi,ni kweli kwamba njia ya uzazi wa mpango IUD(copper) inaweza sababisha mtu kua na maumivu ya mifupa/synovits/rheumatism/back back...
Daktari wa upasuaji anayetaka kufanya upandikizaji wa kwanza wa kichwa kuwahi kufanyika anasema upasuaji huo unaweza kufanyika kuanzia mwaka ujao.
Prof Sergio Canavero ameiambia BBC amepata watu...
Habari JF; Baba yangu mzazi mwenye umri wa miaka 81 anayeishi katika wilaya ya ludewa mkoani njombe anatatizo la mtoto wa jicho kwenye kila jicho lake na kwa sasa haoni vizuri na alipokwenda...