Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wakuu nimepitia duka flani ikabidi ninunue habati soda maana hua naskia ni dawa nzuri kwa magonjwa mengi wiki hii tumbo linanisumbua ningependa kujua dozi ya hii dawa iko vipi? msaada
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Vyakula vinavyotibu tatizo la nguvu za kiume ni pamoja na vifuatavyo; 1. Kitunguu swaumu Kitunguu Swaumu Chukuwa punje 10 mpaka 15 za kitunguu swaumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha...
4 Reactions
20 Replies
31K Views
Leo asubuhi nilisikia hii mada ikielezewa kwa usahihi kwenye kituo kimoja, issue ya mazoezi na mfumo wa ufanyaji kazi wa via vya uzazi.. Amelia na mazoezi kwa upana wake mana aliweza kuelezea ktk...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara nyingi nikiwa natembea sehemu za joto huwa napata muwasho wa ajabu saana na vilevile hata nikioga nakujifuta maji basi nitawashwa balaa. Naombeni mnisaidie maana nlishawah kwenda hospitali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini zenu. Naomba kujuzwa mtu anaeumwa sana viungo hasa joints za mikono, magoti na miguu, mgongo, kiuno na kichwa, kuna shida gani hapo? ni kuchoka sana stress au tatizo jengine?
0 Reactions
8 Replies
20K Views
KATIKA TIBA YA LISHE (DAGAA NA FAIDA ZAKE) Kwa imani ya watu wengi, dagaa ni kitoweo cha kimaskini, huonekana kuwa kununua dagaa sokoni au super market' kwa ajili ya kitoweo, ni dalili ya...
2 Reactions
16 Replies
38K Views
Habari wakuu, natumaini mpo poa. mimi nimeolewa huu mwaka wa 3 ila sijabahatika kupata mimba na siku zangu huwa nazipata vizuri na hata siku za hatari nakutana na Mr. ila sijafanikwa. Naomba...
1 Reactions
126 Replies
12K Views
The Vaccine Against Diabetes Has Been Officially Announced And The Entire World Is Celebrating The News! In the United States alone, 1.25 million people suffer from type 1 diabetes. A vaccine...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
<img src="http://images.agoramedia.com/everydayhealth/gcms/cs-vaginal-health-rules-healthy-vagina-400.jpg" alt=""> 4KSHARES PIN IT Steps You Can Take to Protect Vaginal Health All women...
6 Reactions
45 Replies
7K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 22,ninaombeni msaada wa jinsi ya kupungua mwili wangu maana kila siku ya mungu ninaongezeka uzito na sasa nina kilo 120,ninaogopa kuwa nipo karibu kupata magonjwa pia...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Leo nilienda kuonana na daktari bingwa wa Macho pale Muhimbili. nimeingia ndani ya chumba cha bingwa huyo nikakuta ni kijana ambaye havuki miaka 35. nikamuuliza nimekuja kuonana na bingwa wa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ecg
Habari za hapa wakuu. Napenda kuwajulisheni kuwa tunafanya kipimo cha ecg hapa Mbagala.Kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0769814553
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Moderator; Kwanza naomba muongozo kama kuweka picha ya jinsia mbili inakubalika. Kama inakubalika tafadhali nijulishe niweze kuipost. (Baada ya go ahead kutolewa): Lengo la kuweka picha hii...
0 Reactions
55 Replies
86K Views
Je, ni kweli mazoezi ya mwili yanapunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa au kuongeza? Tafadhali wajuzi tufafanulieni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna jamaa yangu flani age-40's, sex-male anapata uzito wa ulimi kwa wiki mbili sasa unaomfanya ashindwe kuongea vizuri sometimes na kuumwa kichwa mara kwa mara, akaambiwa afanye CT scan ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi, nimepatwa na tatizo la kuwashwa njia ya haja kubwa hadi inafikia siwezi kutembea umbali mrefu. Nimejaribu baadhi ya dawa shida bado ipo pale pale naombeni msaada.
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Mke wangu alikwamwa na kitu kama vipande vya chakula wakati akicheua... Hii ilitokea usiku alipokua akiamka kwenda kujisaidia, so anasema anahisi maumivu anapomeza maji... Nini tiba yake? Naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Scientific Prove Ya uwepo wa Hii issue haipo Lakini kutokana na studies za Chromosomes na sperms its possible pia kuna watu wanasema wameshafanikiwa kuchagua Jinsia za wanao,Anyway Mzigo uko Ivii...
4 Reactions
47 Replies
10K Views
Tuko kwenye dunia ambayo kila kukicha kuna tafiti mpya au tunakumbushwa yale ambayo tunatakiwa kuyazingatia kila siku kwenye maisha. Na ninafahamu watanzania wengi huchelewa kufika nyumbani na...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu sasa,naombeni ushauri wa kitabibu!Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…