Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari za mchana, Nina tabia ya kugugumia Maji lita moja na nusu kwa mkupuo na Hapo nakuwa nimemaliza hadi wakati wa Kulala ndio nakunywa tenants. Je Tabia hii ya kugugumia kiasi hicho cha Maji ni...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana mwezi wa 11, nikaenda hospitali nikachomwa ceftri 5 hazikusaidia hata kidogo, nikaenda kwa dr mwingine akanipa tetrac na metro tatizo likakata kwa wiki...
1 Reactions
19 Replies
40K Views
Habari wakuu ndani ya JF, Nina mpenzi wangu sijajua anatatzo gani? Tunataka tuwe na mtoto tatizo ikifika siku za uhakika za kushika mimba tunasex alafu baada ya siku tatu au nne tukijua mimba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi,ninaomba kujuzwa dawa ya kumaliza tatizo hili.Nimekwisha tumia dawa mbalimbali lakini tatizo bado lipo palepale.Naomba anaye fahamu please anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kama umetumia dawa haikufanya kazi je kuongeza dose kubwa zaidi ya awali inaweza kusaifia au ndo bacteria ashakuwa totally resistant? na dawa husika
0 Reactions
1 Replies
761 Views
Je mafuta ya Cod liver maarufu kama SevenSeas yanafaa kuwapa watoto wa chini ya miezi sita? Naomba mwenye uzoefu nayo....faida na hasara zake.....na dozi sahihi....asanteni!
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Wana JamiiForums, Nilikuwa nauliza swali moja, Mimi niko kwenye mahusiano kwa kipindi kuna changamoto niliyokutana nayo hivi karibuni nilikuwa na mpenzi wangu katika hali ya kutaka kufanya tendo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wife ana mimba ya miezi 6 sasa katoka clinic ananiambia docta kuangalia kaona mimba ipo kwa juu upande sasa hii imenipa wasiwasi sana je tatizo gani linaweza kutokea na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nawasalimu Wanabodi Wote Humu. Ningependa Ikiwa Kuna Mtu Yoyote Anayejua Haya Matunda Hapa Nchini Yanalimwa Wapi Na Faida Zake ? Nilisikia Baadhi Ya Watu Wanasema Yanasaidia Kusafisha Kidole...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kuna rafiki mmoja mtoto wake wa umri wa miezi miwili ana tatizo hilo
0 Reactions
19 Replies
33K Views
Habari wanajamvi.. Utafiti uliofanywa na Dk Brian unaonyesha kuwa uvaaji wa chupi au boxer wakati wa kulala ni hatari kiafya kwa watu wote. Baadhi ya madhara hayo ni Ugumba na maambukizi ya...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Habarini wanajamvi, Naomba kufahamu kwa mwenye uelewa kuhusu ugonjwa wa TAMBAZI ambao dalili zake ni maumivu ya ndani kwa ndani, kwenye mikono au miguu. Ahsante.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Naombeni kujua iwapo mume wangu atapiz mdomoni kwangu na nikazimeza shahawa zake je, kuna athari zozote za kiafya?
0 Reactions
430 Replies
143K Views
Habari samahan nina shda na tiba ya Sugu za vidole vya miguuni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu Kama kichwa cha habari kisemavyo nipo nae Kwa takriban miaka minne sasa na kipindi chote tukikutana 100% tulikuwa tunaridhishana, lakini kwenye hizi siku za usoni kama miezi miwili...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapi alipo daktari mtaalam aliyebobea ambaye naweza kumuona kwa hapa Dar es Salaam kwaajili ya tatizo hili? Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilienda kupima vvu last month nilivyofika pale jinsi tuu nilivyokua najiamini hadi yule mhudumu alishangaa tulipiga stori kama ndugu badae nikapokea majibu nipo positive akanipa rufaa kwenda...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
KISUKARI NAMNA YA KU-CONTROL SUGAR Hutokea mara moja moja kuamka sukari iko juu(8-10) nina 55yrs Aidha kwa sbb zisizoeleweka(Malaria) au kubadilika muda wa kula au chakula hasa matunda/juice...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu habari zenu, Wakuu naombeni yeyote ambaye anafahamu/ ama alisha wahikutumia dawa za kimasai za kukuza maumbile ya kiume jamani anisaidie na mimi nipate, nina tatizo la maumbile madogo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu Nisiwachoshe sana, ni kwamba mke wangu kila anaposhika ujauzito naumwa sana kiuno na hali hiyo itaendelea hadi atakopojifungua nakuwa mzima kabisaa hata chembe ya maumivu, je...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom