Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kuna mada niliiweka hapa siku kadhaa zimepita, nilihoji ni kwanini punde tu mtu akianza mapenzi huwa anabadilika? 1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye...
6 Reactions
35 Replies
24K Views
Wadau natafuta sana hii dawa,nimezunguka Dar nzima nimeikosa.Anayejua pa kuipata anijuze tafadhali.. waweza kuni pm
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Wana jamvi amani iwe kwenu na watanzania kwa jumla. Mwanangu ana umri wa miaka 3 na mienzi 4 anatatizo la kua hataki/hapendi kula. Nimejaribiu hospitali amemaliza dozi lakini bado, nahitaji kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Morning! Eti kuna centre ama hospital yoyote private hapa Dar inayoshughulika na tiba ya watu wenye matatizo ya akili especially wale walioathirika na uvutaji wa bhangi?Zaidi ya Muhimbili na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Madaktari mnaopatikana hapa mnisaidie,mwaka huu nilipata mpenzi ambaye tupo naye kwenye mahusiano,lakini mpenzi wangu alikuwa na matatizo ya kifua anapohema hutoa milio au kama mtu anayepiga...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu? naombeni ushauri, namiaka 30 ni mama wa mtoto mmoja wa miaka nane nilijifungua vizuri, ila tatizo limeanza mimba zinazofata ikifika miezi saba nablid ghafla bila maumivu...
0 Reactions
5 Replies
929 Views
Habari Kuna hali imenianza muda si mrefu sana na inatokana na kutokea kwa vipele vidogo vidogo viiiiingi..hali hii inasababishwa na nini na inaondokanaje..msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari Ivi kusahau sahau kunasababishwa na nini?? maana mimi tangu nirudi kutoka shule nimekua na hili tatizo. . . Msaada tafadhali
3 Reactions
5 Replies
5K Views
Ni mwaka wa 18 naumwa tumbo linanikata na kuunguruma.Mara naharisha mara inakata.Hadi muhimbili nimefika.Dawa nimetumia nyingi hadi chumba changu kinaitwa minipharmacy.Kwa anayejua mitishamba...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu, Mimi ni kijana wa kiume Nina umri wa miaka 18, tatzo langu ni Kuwa Nina uzito pungufu na pia mwili Wangu ni mdogo kulinganisha na vijana wengine wa umri Wang. Nina kg 45 na...
5 Reactions
39 Replies
11K Views
Kama kichwa habari hapo juu kinavyoeleza. Ni kuhusu ankles. Mimi ni kijana ambaye nachezaga mpira sana kama njia ya kuweka mwili fiti. But miaka kama 3 _nyuma nilianza kuwa na maumivu ya enka...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Wadau nimepatwa na tatizo nawashwa mwili kosa tu kujikuna navimba mwili wote nisaidie nifanyeje
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kwa siku za hivi karibuni imekua desturi kwamba ili nipate usingizi usiku lazima nimgegede mama watoto. Tofauti na siku za nyuma kwamba naweza kaa hata siku mbili bila ya kumgegeda mama watoto...
0 Reactions
3 Replies
960 Views
Habarini, Nahitaji kujua kama kuna mtu ana uelewa zaidi au experience ya ni muda gani ukitoa An intrauterine device (IUD au coil) au wengine wanaita loop, unaweza kupata ujauzito. Niliweka IUD...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wana jf,mm ni mwanamke Shda yang n kwamba naitaj kujua kama kuna uwezekano wa kushka mimba na wakat napima kwa kile kipimo lakn majbu ni negative, Kinacho nichanganya ni kwamba miez ya...
1 Reactions
2 Replies
761 Views
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, Tatizo langu nina MB ndogo ninavyojua mimi, Mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikoloji maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale nnapokubaliwa na...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wanajf habarini za mda huu Naomba kujuzwa ni tiba ipi sahihi kwa mtu aliyepungukiwa na kinga za mwili.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu ndugu zangu! naombeni ushauri juu ya uzazi wangu huu...ni msichana mwenye umri wa miaka 28..nlibeba ujauzito hatimae nkajifungua kwa njia ya kawaida mtoto alkuwa na kilo 4.1..alikuwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wanajamvi,naomba kuuliza maumivu ya tumbo wakati ujauzito ukiwa na mwezi mmoja halina madhara kwa kiumbe kilichomo????
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wana jf.Nina gf wangu ambaye siku ya kwanza kukutana nae,alitoa damu mpaka kulowanisha shuka,nikadhani kawaida cha kushangaza siku ya pili iyo hali ikajirudia.Hili litakuwa tatizo gani?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom