Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wanajamvi katika utafuti wangu nimegundua wanawake ndio chanzo cha sisi wanaume kukosa nguvu, ujue maumbile ya mwanamke yana thamani kubwa sana na yanaheshima yake ndio mana yanatakiwa yawe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Jamani naomba mnisaidie, hivi dawa sahihi/bora ya constipation ni ipi?? Maana nina tatizo hilo kwa muda sasa. Nitashukuru mkinisaidia.
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Habari za Leo wakuu. Tadharini sana na karibisha mawazo,ushauri,ushirikiano na lolote lenye kujenga na kuimarisha wazo langu nalotaka kuliwasilisha kwenye wakuu. Kwanza kabisa mimi ni "form six...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Hapa nimemaliza kula ugali, mara nikata wazo la ghafla. Kama hatunyonyeshi...!! Nini kazi ya matiti au nyonyo, au chuchu kifuani mwa jinsia ya kiume? Karibuni tujadili...[emoji101]
0 Reactions
34 Replies
11K Views
Jamani tatizo langu ni kukojoa mara kwa mara ninapokunywa kimiminika chochote. Hali hii hunikosesha raha maana kama nina mkutano inabidi nisinywe chai wala maja. Kitendo cha kunywa glass moja ya...
0 Reactions
65 Replies
120K Views
naombeni kujua iv wanavyompima mwanaume kujua mbegu zake kama zina uwezo wa kutunga mimba wanachukua hizo mbegu na kuzipima?na kama wanachukua wanachukuaje? Pili kujua mwanamke ana uwezo wa...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Jaman wadau naombeni msaada kama kuna spitali ambayo inahusika na viungo vya mwili naomba nielekezwe ili nikaangalie hali yangu. Kwasababu nna muda wa mwaka sasa nasumbuliwa na maumivu ya kiuno...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Habarini wanaJF, Kuna msichana hapa mtaani kwetu kila tukifanya mapenzi tukifika katikati ya mechi anatokwa na damu. Sio bikra lakini hii hali hujirudia mara zote. Je inaweza kuwa ni ugonjwa? Na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jino lajuu linanisumbua naogopa kuling'oa wanadai wengi wao wariowahi kung'oa walipoteza maisha
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Sijielewi sasa ni wiki inaisha nakosa amani kabisa natamani niwe peke yangu muda wote sitaki kelele wala vurugu za aina yoyote ile.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hellow wanajf,natumaini wote muwazima kwa wale wagonjwa poleni..mimi tatizo langu ni maumivu makali chini ya kitovu maumivu haya sio continously huwa yanakuja na kuacha huwa yanakua makali sana...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu wa humu, Mimi ni mdau wa humu yapata miaka zaidi ya 6. Ishu inayonisumbua hivi kwanini ukikutana na mwanamke kimwili na round ya kwanza unawahi kukojoa haraka sana. Pili na...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
If you have never tried to quiet your mind with meditation then you are in for a surprise: your mind is a very noisy place. Brain waves are the electrical movements in our brain, and they always...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
A new study conducted by researchers at the San Francisco VA Medical Center (SFVAMC) observes that pharmacological enhancement of the immune systems of HIV patients could help eliminate infected...
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Naomba kuuliza, hivi kama mtu akifunga AC na kile kifaa kinachofungwa nje kuigeuzia kwenye dirisha la mtu, huyo mtu anaweza kuathirika vipi? Asante
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Kwa anayejua duka dawa asilia za kihindi hapa nchini.kuna dawa inaitwa timemax naihitaji Msaada tafadhali
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Naomba kuuliza tafadhali, mim ni mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja wakati najifunguwa huyu mtoto alivutwa kwa kutumia chupa maarufu kama vacuum., je Kuna athari yeyoye mtoto anaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je kunauwezekano wa kufanya mapenzi na mtu mwenye VVU bila kutumia kinga na usipate maambukizi.
0 Reactions
31 Replies
10K Views
Japo nafahamu kwamba zote zina madhara katika mwili wa mwanadamu, Je kuna ufafanuzi wa kidaktari/kitaalamu kati ya kutumia sukari nyeupe na sukari ya brown? Ni ipi ina madhara zaidi?
1 Reactions
61 Replies
31K Views
Habar ya asubuhi wandugu; Nina tatizo la meno, meno yangu yananisumbua sana,yaani yanauma kimwendokasi. Kama leo sijalala kabisa.Tatizo ni meno ya mbele yameoza na ndio yanayouma. Wasiwasi wangu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom