Wadau mambo vipi? Nilikua naitaji kujua mambo flani kuhusu ukimwi... Nitafurahi kama mtanisaidia kwa mawazo. Maswali yangu ni kama yafuatavyo:
1) je mwanamke anae itaji kufunga uzazi kwa njia ya...
Habari! kuna ndugu yangu kababuka mdomo. Pia una maumivi. Yaani umekua mwekundu! kama kavuta bangi lakini hajawahi tumia! labda ni lipbam tu hiz za kawaida.
Je kuna tiba ya huu ugonjwa kwa...
NAWAULIZA SWALI KATI YA ASALI NA SUKARI
UTATUMIA IPI KUWEKA NDANI YA CHAI KAMA NI DAWA?
Honey vs. Sugar: What's Best for Your Herbal Teas?
Herbal teas are great for so many different ailments...
UTUMIAJI WA FACE WASH AU FACIAL CLEANSERS HUPENDEZESHA ZAIDI USO WAKO
U hali gani rafiki yetu na mpenzi wa mambo ya vipodozi na muonekano wa mwili? Karibu katika somo la leo linalohusiana na...
Wasalaam wakuu,
Hope mpo salama wote na bukheri wa afya zenu japo leo nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu mahusiano yaliyopo kati ya mafua na unywaji wa vitu vya baridi maana hapa nilipo...
Utafiti imeonyesha kuwa kwa mwanamke umbile la k, umbali kati ya clitoris (kisimi) na urinary tract(sehemu ya kujojoa) ikizidi sentimita 2.5, au zaidi ya inchi 1, basi huyo mwanamke hawezi kufikia...
Ni muda mrefu toka niwahi kusikia habari za ugonjwa huu lakini huwa najiuliza maana au dokezo la ugonjwa huu na ni nini dalili zake na je ipo tiba? Naombeni msaada wenu wakuu na ahsanteni.
Hi Comrades,poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kulingana na maelezo niliyopata mtandaoni kuna haka kaugonjwa ambako kanaonekana kapo kisaiklojia zaidi,baadhi ya wanawake wameshindwa kufurahia...
Wana JF wenzangu habari za mida hii! Hili jambo linanifanya hadi mimi mwenyewe najishangaa. Mimi nina uwezo wa kuunganisha round 1 hadi ya 10 bila kupumzika ktk kusex. Ila kasoro yangu girl...
Kuna umuhimu serikali kuweka dawa za matatizo ya akili wilaya zote kama ilivyo kwa HIV kuondoa usumbufu kwa wanaochukua dozi hizo na ikumbukwe yapo magonjwa mengi ya akili kama kupendelea kunywa...
KUKOSA hamu ya ngono ni tatizo ambalo wengi huona aibu kulizungumzia ingawa ni kitu kinachowanyima raha wanawake wengi.
Inakadiriwa kuwa asilimia 40 ya wanawake hupatwa na tatizo hili katika...