Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Natambua na naheshmu great thnkers mliopo humu na ndio sababu nikapenda kuulza. Tatzo langu hli halijaanza leo wala jana, ni tangu utotoni, ilifka mahali nikaona ni kawaida ila baadae jamaa zangu...
2 Reactions
24 Replies
24K Views
Wana JF habari zenu, Jamani hili tatizo si la kwangu bali la mtu ninayefahamiana nae anaomba msaada.Mwenzetu huyu anaomba ushauri. Ana jamaa yake ambaye wanapendana sana na jamaa katangaza nia...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Instead of getting a cup of coffee, why not replace it with a warm water lemon drink!? Below are the good factors to consider. 1. Boosts your immune system: Lemons are high in vitamin C, which is...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wataalamu msaada kwa anayejua tatizo linalosababisha kifua kuwasha kwa ndani anipe ushauri. Kinanisumbua sana pia japo sikohoi sana.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Kama unahisi uko tayari kufanya mapenzi, au tayari unashiriki katika ngono, ni vyema kuchukua tahadhari. Hakikisha katika harakati zako za kufanya mapenzi, unajali afya yako kwa kufanya ngono...
3 Reactions
26 Replies
20K Views
MOYO ni ogani muhimu sana katika mwili. Inafanya kazi muda wote hata wakati ambapo umechoka sana au kulala. Kazi kubwa ya ogani hii ni kusukuma damu sehemu mbalimbali za mwili kama kichwani hadi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu. Naombeni msaada wenu wa hali na Mali. Nimepata msichana ambaye niko naye kwenye mahusiano mapya, nimetokea kumpenda sana na nahitaji awe mke wangu mungu akipenda hivi karibuni...
1 Reactions
12 Replies
15K Views
Habari wana JF, hususani wana jukwaa hili,, nimekua nikipata mafundisho na ushauri mbali mbali kuhusu afya kwa ujumla! Pongezi kwenu! Ndugu wanajukwaa, kuna tatizo limenileta hapa naombeni msaada...
1 Reactions
33 Replies
19K Views
Haya ni Kati ya mogonjwa ninayoyaogopa sana. 1.HIV/AIDS (Ukimwi) 2.HPV 3.HEPATITIS (Homa Ya Ini) 4.SYPHYLIS(Kaswende) 5.LEPROSY(Ukoma) KUna jingine.....??
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wadau, natumaini weekend inaenda poa.Kuna mwanafunzi wangu kanifuata na kuniomba nimsaidie kutatua tatizo alilonalo. ni hivi, Ameota vipele vidogo kwenye korodani vilivyoungana vinawasha...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Habarini za asubuhi ndugu zangu. Ninamtoto wa kiume anasumbuliwa na tatizo la tumbo. Nikimpa chakula tu, ama uji baada ya dakika 20 hivi lazima atajisaidia malenda malenda, yaani chakula hakikai...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mtoto wa miaka miwili wa kiume, nimegundua kwamba hahisi maumivu either akidondoka, akipigwa, akichomwa sindano nk. Nimejaribu kumchunguza kwa mda mrefu tangu akiwa mchanga kabisa. Akikosa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Naombeni ushauri wa hili linamsibu kaka yangu kipenzi. Ameishi na mwanamke 4 years na yeye alikua na mtoto wa nje na huyu binti pia alikua na mtoto. Alimkuta huyu binti anatumia sindano za uzazi...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Nauliza na ningependa nijue gharama zao za kila mwezi, nje ya nchi namaanisha kuanzia Afrika Mashariki, India, South Afrika na Ulaya
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Miili kama hii huwa inasababishwa na nini? Nini suluhisho lake?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF na Dr wa mahospitali, Naomba kuuliza kama kuna mgonjwa aliyewahi kupona nguvu za kiume kwa kutumia Dawa za mitishamba au za hospitalini au vyakula vyenye virutubisho please naomba hizo...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Unatakiwa ubadilishe mswaki kila baada ya miezi 3. Kuna watu wanatumia mswaki miaka 3. Sio vizuri unatakiwa ubadilishe kila wakati ndo mana midomo haitaacha kunuka coz unatumia mswaki mda mrefu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natunguliza salaam wakuu, ningependa kujua mbivu au mbichi kuhusiana na cornflakes/cereals katika kupunguza uzito wa mwili.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari JF Doctors, Naomba kujuzwa kwenye hili. Kuna ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa maajabu. Kichefuchefu, yaani kila anachokula kinamletea kichefuchefu anatapika. Tumefanya vipimo vyote...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Moyo wa nguruwe Maryland, Marekani WANASAYANSI kutoka Taasisi ya Kitaifa ya Moyo, Mapafu na Damu huko Maryland nchini Marekani wanasema kuwa wamefanikiwa kuweka moyo wa nguruwe katika nyani kwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…