Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mara nyingi nikilamba asali huwa tumbo linauma sana nashindwa kuelewa tatizo ni nini msaada kwa aliye na uelewa wa tatizo hilo.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wadau! (Mtanisamehe kwa maelezo yangu marefu) Mimi ni kijana wa umri wa miaka 21 ..nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la chunusi kwa takribani miaka 3 na nusu sasa.. nimewahi kwenda kwa...
0 Reactions
19 Replies
15K Views
Nina rafiki yangu anaitwa............mpenzi wake ana ujauzito sasa tangu awe hivyo harufu yake imekuwa mbaya zaidi ya kawaida. Tena wakifanya mapenzi ndo kabisa,anaomba msaada sasa mimi alinambia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jambo JF, 1. Uyoga ni chanzo kikubwa na kizuri cha vitamin C, D na Potassium. 2. Uyoga unaondoa hatari ya kuwa na kansa kwa kupambana na kuviondoa vianzilishi vya kansa za aina zote. 3...
1 Reactions
2 Replies
12K Views
Habari zenu wana jf. Nimeolewa nina miezi sita sasa kwenye ndoa yangu ila sijafanikiwa kupata ujauzito.nimejaribu kukutana na mume wangu siku za hatari kuanzia siku ya kumi na moja bila mafanikio...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari wana jamvi, kama kichwa cha uzi kinavyosemeka. Ni hospital gani hapa dsm naweza kupata gastroenterologist mzuri. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanageo science na wabobezi wa geography na yeyote mwenye elimu ya afya kuhusu maji ya mvua ni salama ukiyanywa bila kuchemshwa. Naomba ushauri nimekuwa nikiyakusanya kwenye matank hapa kwangu na...
1 Reactions
29 Replies
12K Views
Wakuu wa nchi Wapi nitapata hiyo supplements .Msaada jamani :)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KARIBU WA-TANZANIA WOTE WANAPENDWA NA MDUDU MBUU UTAWEZA KUKUBALIANA NA USEMI WANGU HUO?
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Nimeona ku share ili jambo kwa observation zangu naona rate ya watoto wa kike kuzaliwa ni kubwa sana, dada zetu siku hizi kila ukisikia kajifungua basi unakuta ni mtoto wa kike! Katika family...
2 Reactions
25 Replies
9K Views
UMUHIMU WA KUSAFISHA UTUMBO MPANA Kuna sababu 18 ambazo zinkupelekea ULAZIMIKE kusafisha utumbo wako MPANA. HILI ni eneo ambalo uchafu wote ambao unahitajika kutoka kwa njia ya haja KUBWA...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Meno yangu yanatoboka nimetumia dawa mbalimbali bila mafanikio. Pia nasukutua Mara tatu kwa siku. Nauliza ni dawa gani ni bora ?.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za majukumu wakuu, mi nimekuwa na tatizo la kidonda kilichosababishwa na ajali ya pkpk tokea mwezi wa 11 mwaka 2009, nimeshatumia tiba za kila aina mpaka skin grafting nilishafanyiwa lkn...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau naomben msaada wa swali hili je ni kwel mama mjamzito akila sana muwa wakati wa ujauzito wake atapata uchungu mkali sana tena wa muda mrefu wakati wa kujifingua karibuni kwa mchango wa majibu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ninafarijika kuona jinsi ambayo jamii ya lishe inabadilika kwa kasi sana hasa kwenye kutoka kwenye sembe kuhamia kwenye dona Kautifiti kangu kadogo kameonesha kwamba kwa sasa kupata dona si ishu...
2 Reactions
107 Replies
29K Views
Habarini wakuu!! Poleni kwa pilikapilika za wiki nzima,nina imani wengine mtakuwa bado mko kwenye mihangaiko ya kimaisha kwa ajili ya kujipatia riziki, wengine kwenye nyumba za ibada wengine...
1 Reactions
9 Replies
21K Views
Kama heading inavyojieleza. Napenda kufahamu sababu zinazopelekea kila nikinywa maziwa freshi. Nasumbuliwa sana na kuumwa tumbo au tumbo kujaa gesi.
1 Reactions
15 Replies
11K Views
Kuvuja damu baada ya kujifungua ni nini? Kuvuja damu baada ya kujifungua ni hali ya kuvuja damu kupita kiasi kutoka kwenye njia ya mfumo wa uzazi wakati wowote baada ya kuzaa hadi wiki sita...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Kama heading inavyosomeka,ni zaidi ya wiki 2 sasa wife hana hamu kabisa na tendo la ndoa. Jambo hili limeanza kuonekana baada ya kugundulika ni mjamzito wa kama mwezi ivi,hii ishu imekuwa...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Back
Top Bottom