Ninampenzi wngu leo ni siku ya tano mfululizo anaingia period ila kinachonisababisha niombe ushauri damu inatoka nyingiiiii sana kuliko miaka yote.,je ili ni tatizo gani waungwana? Naombeni msaada
Matumizi ya kila siku ya dawa za kupunguza maumivu za paracetamol huongeza hatari ya ugonjwa wa moyo, kiharusi na kufupisha maisha ya binadamu, utafiti mpya umeonya.
Paracetamol hupendelewa zaidi...
Madaktari humu ndani naomba ushauri maana nishaangaika nimefeli,, ngozi ya uso haijawahi kurelax huwa inakuwa kavu na rangi yenye mabaka nimeapply mafuta ya kila aina na ya bei tofauti kulingana...
Inaweza kuwa taarifa mbaya zaidi kwa wanaume wanaojihusisha na uvutaji wa sigara na angalizo kwa vijana wanaotaka kujitumbukiza kwenye kilevi hicho.
Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chuo cha...
Wakuu nimewahi kusikia kuuchora mwili tattoo kuna madhara makubwa tu, Naomba tuchangie madhara yanayosababishwa na tattoo mwilini,
Katika dini ya kiislamu mwenyezi mungu amekataza kabisa...
Ndugu wana JF Doctors, nahitaji kuonana na daktari anayehusika na masuala ya uzazi hasa kwa wanaume. Naomba kujua endapo nitaenda hospital kama Muhimbili, niulize doctor wa nini (kitaalamu) ili...
Wataalamu waJF,
Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na picha hii, nikasisimka na kujiuliza hiki ni nini?
Je ni ugonjwa?
Kama ni ugonjwa je husababishwa na nini?
Yapi ni...
Siku hizi hiyo imekuwa ni kawaida sana mtu kuumwa kichwa siku moja na kufa wengi huwa wanahisi ni ushrikina. Lakini tukija kitaalamu chanzo chake nini. Na ni vitu gani uviepuke ili usipatwe na...
Waungwana habari zenu,
Mimi nina mwanamke nimezaa nae ila hatukai wote mkoa mmoja,tuna mtoto wa miaka mitatu yeye anaishi mwanza kikazi,na mimi naishi Dar kikazi pia, ila pindi anapopata likizo...
Habari wapedwa. naomba msaada kwa anaemjua Docta Bingwa wa wanawake Morogoro. anapopatikana na contact zake ikiwezekana nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Asante
katika gem mara msuli wa mguu ama mbavu unatight na huwezi kuendelea au ku move yaani ikikutokea wewe hutatamani tena kutongoza demu utaaadhirika sana -sababu ni nini .yaani unahangaika kama...
Habari wakuu!
Kama swali lilivyouliza, Je wakati wa tendo la ndoa mwanamme anapomwaga shahawa zake ni lazima ziingie zote ukeni ili aweze kumpa ujauzito? Au kuna zingine huwa zinarudi nje na je...
Mpo wakuu?
Mke wangu alikuwa na tatizo la urinary (tract infection) mwezi uliopita. Ilinibidi niende juu chini na niligudua kwamba hili wanawake kuepukana na janga hili lazima niwaambie.
Kama...
Wanajamvi habari za saa hizi,
Nina mwanangu aliyekuwa na afya nzuri tangu amezaliwa,hajawahi kusumbuliwa na ugonjwa wowote mkubwa zaidi ya mafua ya sikumbili tatu basi.Alikuwa ni mchangamfu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.