Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Baada ya kuandika Uzi kuhusu kuwa na tatizo LA mgegendo kuwa legelege watu wamekuwa hawaelekezi hospitali wala mtaalamu yoyote, nimekosa ufumbuzi maana nilihitaji kujua kama naweza kupata huduma...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Madaktari huunganisha habari unayotoa kutoka kwenye dalili unazohisi, historia ya maradhi yaliyowahi kukusumbua, uchunguzi wa mwili wako pamoja na kufanyiwa vipimo ili kugundua maradhi au hatari...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
NIMEONA WAZAZI WENGI HASA JANUARY HII 2016 WAKIHAHA HUKU NA KULE,KWA TATIZO LA WATOTO WACHANGA NA WADOGO KUPATA SHIDA YA KUTOA CHOO/HAJA KUBWA KWA SHIDA SANA TENA HUTOKA KAMA YA MBUZI,HIVI DAWA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna hii therapy ya maji ambayo mtu anakunywa 1.5 litres (1500 mill) asubuhi kabla ya kula chochote, kisha anakunywa tena mills 750 mida ya saa tano hadi saa 7, baadae saa 11 hadi 12 jioni mills...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari waungwana nimejitokeza hapa kuomba kujuzwa tarehe nzuri ya mwanamke kupata mimba. Asante.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Ukitaka kubaki kijana na nguvu zako zote na pia kuwa na sura yako isiyozeeka na pia kutougua mara kwa mara basi tumia vyakula vifuatavyo: na hata kama ni mzee vyakula hivi vinauwezo wa kukufanya...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Je, wajua siri kubwa kwanini watu wa bara la asia wanaishi miaka mingi sana na huku miili yao ikiendelea kuwa na afya tele? Siri hii ni kwamba watu hawa hupendelea sana kufanya mazoezi pamoja na...
0 Reactions
13 Replies
34K Views
Wadau msaada wenu unahitajika Nimekuwa na tatizo la kuwashwa miguu eneo la kati ya goti na ankle kwa mrefu mara kwa mara.Nimekuwa nikiend hospitali najieleza and then napewa Cream ya GENTRISONE...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Sasa unaweza kupunguza uzito mkubwa wa mwili kupitia lishe. Ungana na sisi kupitia ukurasa wetu wa whatsapp uweze kujifunza jinsi gani lishe inaweza punguza uzito mkubwa wa mwili. Jiunge sasa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mke wangu anasumbuliwa na macho kwa kipindi kirefu sasa. Huwa anadai yana kama vikokoto na huwa yana muwasha na kupelekea macho kuvimba, nime mpeleka hospital alipata dawa yalitulia kwa muda tu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Mimi ninamatatizo ambayo yananikuta usiku tu nikifika kitandani kulala. 1.Macho huwa yanaanza kuwasha pindi nikifika tu kitandani wakati kutwa nzima nakuwa niko poa. 2...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Narudi tena jamvini Kuomba msaada wa kijana wangu ambaye anaamka dhakar ikiwa imepoa akitaka kukojoa mpaka aishike Kijana ana umri wa miaka sita, alafu anakuwa muoga kuogelea kwake ni sheeeeda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salaam! Siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri kuhusu mguu kuvimba, ulianza kuvimba tu bila maumivu na ulianzia chini kwenye vidole hadi kwenye goti, sijawahi kuumiza...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana JF kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana wa miaka 15 . But ninasumbuliwa sana na kiuno hasa ninapoinama. Mf. Kuchota maji ukijumlisha na uzito wa kata. Aisee...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hodi! Jamani kama kichwa cha habari kinavyosema kula mayai ya kienyeji kwa siku karibia tray ila bado sinenepi! Je nafeli wapi jamani maana kila nikila yananikataa, je kuna hatari gani kiafya...
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Naomba msaada kama kuna uwezekano wa kuweka la bandia, Au hilohilo kuzibwa. Naomba na msaada wa gharama kwa anayejua. Ya kuweka la bandia jeupe, au kuziba.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu kwema humu. Naomba kupata maelezo kuhusu hospitali nzuri ya Macho katika jiji la mwanza. Nina mzazi wangu nataka akapate huduma ya macho. Shukrani sana.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wanasayansi wamegundua dawa yakutibu ulevi yaweza kutumika katika mkakati wa kuamsha virusi mfu vya VVU vilivyojificha na kuviua. Dawa hiyo waliyoiita 'Antabuse' walipatiwa wagonjwa 30 wa UKIMWI...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
AfyaYako‬ Mfadhaiko (Depression) wathibitishwa kwa mara ya kwanza kuwa na uhusiano na protini maalumu Matokeo ya utafiti mpya yaliyotolewa kwenye jarida la taasisi ya sayansi ya Marekani...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wadau wa JF, Nataka kujua hivi dimpozi ni ugonjwa au nini, ama dimpozi zinatokana na nini? Naomba kuwasilisha kwenu wadau..
0 Reactions
50 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…