Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Afrimec kupitia huduma zake za onlinemedical consultation inakuwezesha kuwasiliana na kuongea na madaktari na kuweza kujibiwa ndani ya muda muafaka kulingana na tatizo husika. Jinsi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, ni wapi kwa hapa Dar wanachoma chanjo kwa ajili ya safari na bei yake ikoje? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu binti ana miaka 20, ana mwili mkubwa na ni mrefu ingawa hakuvimbiana. Mbaya zaidi mpenzi wake alimwacha eti ni mnene. Nahitaji nimshauri njia ya haraka kupunguza mwili wake ili awe happy...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Naulizia sehemu youote mnayoifahamu ambayo inafanya kipimo cha biopsy kwa umakini na uhakika zaidi hlo ni kwanza pili ni nani anayefahamu sehem wanafanya kipimo cha P.E.T Scan kwa uhakika jibu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya masaa 24 kila siku ulimwenguni kote Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam kwenu Doctors, jamaani sijui kama ni tatizo, mwanangu ana miezi 4 ni wa kiume, tangu nimejifungua anakojoa penis yake ina erect na akikojoa anarusha mbali akiwa hayupo daipers.. Sasa kama...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Tangu jana via dole vyangu vinawaka moto no Dalili gani hizi,ni sehemu ya mguu vinapoanzia vidole
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mimi ni mwanafunzi katika chuo Fulani Hapa Tanzania Mwezi wa nne mwaka huu niliingia katika mahusiano na dada fulani ambaye kiukweli nilimpenda sana,nina mpenda sana na nitazidi kumpenda sana...
0 Reactions
23 Replies
23K Views
Waungwana najua humu kuna ma pharmacist na hata matabibu waliobobea na hata wagonjwa pia. Hii dawa ya Gancyclovir ninaihitaji sana kwa ajili ya dada yangu ambae baada ya kufanyiwa endoscopy test...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Worms Can Invade Your Brain from Eating This Common Food With eating this common food,worms can invade your brain. Once they are consumed and enter your organism, they can move throughout your...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Madaktari, Nimepima Complete Blood Count CBC) na matokeo ni haya; 1. Granulocyes absolute count = 3.5x10^9/L 2. Granulocytes %ge = 52% 3.White blood cells = 6.6x10^9/L 4. Red blood cells =...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habarini ndg zangu? Maada inajieleza hapo juu, hajui afanye nini? na hajui inasababishwa na nini? na ni ugonjwa gani?unatibiwa vipi? Nimeambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi. Msaada wenu ni...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Jamani habari zenu! Kichwa cha husika, anayejua dawa ya kunenepesha makalio anipatie na mseme na side effect zake.
0 Reactions
30 Replies
16K Views
Mtoto WA jirani yangu Ana dalili zote za kipindupindu, Now ndo tunampeleka hospital, naomba kujua zilipotengwa huduma kwa watu wenye kipindupindu kwa wilaya ya Kinondoni!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu. Mimi mama wa miaka 35. Nina mtoto mmoja wa miaka 8.nilibahatika kupata mtoto mwaka Jana. mwezi wa nne mwaka huu Mwanangu mpendwa akatangulia mbele za haki akiwa na miezi 8,RIP my...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari zenu wadau,poleni na najukumu. Naomba nipate utalaamu wenu katika hili wadau,nimemaliza dozi ya U.T.I na nimepona ni vipi nikikutana na mume wangu kimwili anaweza kuniambukiza ingawa yeye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Chakula gani cha kutumia cd4 zipande?
0 Reactions
11 Replies
7K Views
kuna Mgonjwa anaeishi na maabukizi inasemekana aligundulika mapema akashauriwa atumie dawa baadae alipoona ananguvu akaacha bila ushauri wa doctor sasa amezidiwa na tumempeleka hospital naona...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wakuu nimekuwa na hii shida nikitembea umbali mrefu napata michubuko mapajani. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida, ninabadili boxer kila siku. je nini kinaweza kikaniondolea hili tatizo!?
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Wakuu, Nimepatwa na ugonjwa hapa wa maumivu makali ya nyama za mwili wote, zinaumaa sana. Nahitaji msaada kwa anayeijua tiba,maana hakulaliki wala hakukaliki, hali ni mbaya.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom