Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu heshima kwenu, nimekua nikisikia mara kwa mara kuhusu hili tatizo la Candida kwa wanawake. Swali langu ni je, kuna uwezekano wa mwanaume kupata uambukizo wowote iwapo utakutana kimwili na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtu yoyote mwenye jinsia hiyo, anayesumbuliwa na tatizo la kutokwa na harufu sehemu za siri, ambaye hana magonjwa ya zinaa tuwasiliane nimsaidie.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nilimpeleka ndugu yangu muhu2 kitengo cha mifupa[moi] wananizungusha pesa nimelipa mizunguko kibao mgonjwa hajapata huduma na mm naona bora nitafute hosp nyingine.wana jf kuna uwezekano kwa siku...
0 Reactions
27 Replies
18K Views
Habar wakuu, kwa wenye ufahamu wa hospitali zinazotoa huduma tajwa hapo juu zinazopatikana DAR ES SALAAM pamoja na gharama zake itakuwa vyema zaidi, Nawasilisha kwenu wana jamvi.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Afrimec kupitia huduma yake ya mydoctor inakuletea huduma ambayo itakuwezesha kuongea na kuwasiliana na Madaktari kuhususu tatzilo lolote la kiafya Na utajibiwa ikiwa nipamoja na kupewa ushauri...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Nimejifunza leo kwamba ili usinzie fofofo, ndani ya dakika 90 unapitia stages kadhaa. Kuna mbili ambapo mojawapo ni majanga. 1. REM: Ambayo unakua umesinzia unconscious ila una uwezo wa ku move...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilishawahi kusikia kua mwanaume akijichanja kidog sehem yake ya uume ya kichwa yaani glans penis kwa kitaalam na akapaka Utomvu wa dodoki au minyaa.. Bas uume unakua na umbile kubwa... Je?? Kuna...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu ni hospital gani nzuri mkoani morogoro kwa magonjwa ya wanawake..?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari ya mda huu ndugu zangu nilikuwa naomba kujuzwa kuwa kuna madhara gani ya kufunga mikanda ile ya kupunguza tumbo kwa wadada
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau naomba mwenyewe namba ya Dr. Tarimo wa pale idara ya OPD Muhimbili a nipatie . Kuna mgonjwa inahitajika sana amuone. Alienayo Tafadhari kama si hapa hata kwenye inbox aniwekee.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mguu unaniuma sana kwenye nyonga nimeenda hospital nimepewa dawa ya maumivu na kufanyishwa mazoezi (physiotherapy) lakini sina nafuu. Naombeni kama kuna mtu anaelewa hili tatizo anisaidie.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu zangu ma daktari, Je inawezekana daktari mwanamke kumdunga sindano mkwe wake? Mimi kwa sasa nahitaji mke awe daktari ambaye yuko tayari ani pm awe mrefu, miaka kuanzia 34-41 asiwe na mtoto...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau kwa muda sasa nashindwa kulala vizuri, yani nalala kwa mawenge na hofu kubwa ni wezi/kuibiwa!! Nipo katika uchumi wa kawaida tu ila usiku lazima nitashtuka na muda mwingine naamka...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Aliyefanyiwa upasuaji akabakiwa na na testicle moja ya kushoto Vip atapiga mzigo tena?efficiency vip?atapata watoto tena? Testicle iliondolewa as ilikuwa na uvimbe
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Saratani inasemwa kuwa chanzo kikubwa cha pili kinachosababisha vifo ulimwenguni. Saratani ya matiti peke yake inaripotiwa kuwa ya pili kama sababu kubwa ya vifo vinavyohusisha saratani kwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamini, hili tatizo linatokana na nini na nini tiba yako. Nina rafiki zangu wawili wana tatizo hilo.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu naombeni mnisaidie huu ni mwezi wa tatu sasa kila niamkapo kuanzia saa 11 alfajiri kuelekea asubuhi huwa nasikia baridi kali mno . Mfano wa la homa ila nikiamka saa 10 kurudi usiku mfano...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Niliona uzi humu ndani wa tiba za dawa ya kutibu jino nikafatilia na nikaamua kuiapply na kweli matokeo yake nimeyaona nimeamua kurejesha humu ndani ili kumshkuru ndug MziziMkavu. Mke wangu...
3 Reactions
30 Replies
10K Views
Jamani wana MMU, Nasikitika kuachwa na sweetie wangu kisa eti nanuka mdomo kupindukia na kaniporomoshea matusi mazito eti mdomo wangu unanuka kuliko yai visa. Hapa nilipo nina majonzi mazito...
0 Reactions
59 Replies
9K Views
Jamani naweza kupata wapi hii sabuni, niko Arusha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom