Wajameni mwenzenu huyu mama enu mdogo kusema kweli nampenda sana,wakati tulipokua tunaanza mwaka jana mwezi kama huu nilikua natamani mda wote nile raha tu.
Ila ana tatizo la kutoa majimaji ya...
Wanajanvi, kwa wale madaktari na wazazi naomba mnisaidie mtoto wangu anaumwa kama ifuatavyo:-
Mtoto ana miaka mitano, alitahiliwa akiwa na miezi sita, leo asubuhi nimestukia sehemu aliko...
Kuna tatizo linanisumbua, mapu*** yanachemka sana, kuanzia katikati ya mapaja na mapu*** yenyewe, ukipitisha mkono na kuyashika kuna joto kali sana, hata baada ya kuoga dakika chache tu yanaanza...
Wana JF Doctor habari zenu wote.
Mwanangu amemeza gololi tangu jana majira ya saa 3 asubuhi Ni hizi gololi wanazonunua madukani na kuchezea(sijui vizuri materials zake,lakini sio zile za chuma...
Pole na majukumu wakuu, naomba kujuzwa hospitali nimayoweza kupata daktari wa wanawake mkoani Kilimanjaro, Moshi tofauti na KCMC, ni emergence tafadhali msaada wenu muhimu.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu the great thinkers,
Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa...
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu bila kuchangia chochote ila nimefaidika na mengi, asanteni sana.
Sasa leo naomba wajuzi mnisaidie kutatua shida yangu hii; napata kiungulia kikali mpaka vichomi...
Naombeni kujua kitu gani husababisha mama ajifungue mtoto mwenye kichwa kikubwa(kichwa kujaa maji). Ni ukosefu wa vitamin Fulani au ni nini.
Sent from my TECNO M5 using Tapatalk.
Assalam Wakuu .
Nina Staff mwenzangu anatoa harufu mbaya puani, huwa anakuwa na mafua ya ndani kwa ndani.
Ninashindwa kumwambia kuwa anatoa harufu mbaya.
Naombeni ushauri wa dawa itakoyomfaa ni...
Wadau habari zenu? Tafadhali naomba msaada wa kutambua hospitali nzuri kwa mama mjamzito, hasa ukizingatia mhusika mwenyewe ni mimba ya kwanza. Asanteni kwa ushirikiano.
Tulio wengi tunaujua ule usemi usemao, kila wakati ni wakati wa chai. Na wengi tunapenda kunywa chai kila wakati, nikiri kwamba kwangu mimi ninywapo chai hunichangamsha sana.
Kwa kuwa mimi...
Update information on the SD Bioline HIV-1/2 v3.0 In November 2011, the World Health Organization issued a Field Safety Notice advising that its Prequalification of Diagnostics Programme had...
Tatizo ni mtu unapobanwa haja kubwa kinaanza kwanza kimaumivu kama kitu kinavuta sehemu ya haja kiasi kwamba mtu unaganda kwanza maana hata kusogeza mguu huwezi mpaka kitakapoachia, ndo uende haja...
Ni miezi mitatu nimehamia kikazi hapa jijini Mbeya.Tatizo ninasumbuliwa na tumbo linaniuma sana.Huwezi amini maumivu yamefika kiunoni na mgongo wote hadi shingoni.Nimeenda pale rufaa wamenifukuza...
Hi guys, I am a 24 year old male and I am having issues with my teeth, they are a bit far apart (although not visible easily). I was wondering if its actually possible to wear braces at my age...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.