Siku za karibuni kumejitekeza tatizo la kuvaa miwani kwa watoto wenye umri chini ya miaka 15 hasa walio shuleni,nini chanzo chake hasa na ni kipi cha Kufanya ili kutopata taabu hii?
Wataalamu...
Je ni madhara gani anaweza pata kwa mtu ambaye utotoni mwake alibakwa lakni hakuwaambia wazaz au walezi wake ni mtoto wa kiume aliyebakwa..... Msaada juu ya hili ndugu zangu
Jamani mimi nikiogea sabuni ya aina yoyote ile hua natokwa na mba sana kichwani hasa ukizingatia sipendi kunyoa au kua na nywele fupi, Hivyo nikaamua kuanza kutumia shower gel kwa kuogea.
Kwakua...
MPO?
Karibia kila kitu kina uzuri na ubaya wake.
Madawa ya kupanga uzazi yana mazuri yake ambayo kila siku tunayasikia.Lakini mbona hatuelezwi ubaya wake?
Ni ukweli japo wanaukataa kuwa...
Kuna hizi sabuni wanaita za asilia kwa ajili ya kusafisha uke. Sabuni kama Kaisiki & Ivan na nyingine za kampuni kama ya gnld. Je zinaweza sababisha madhara yeyote kwa mtumiaji? Naomba kuelimishwa Plz
Waungwana wana JF Hili tatizo la utasa/ugumba linaondokaje. Nina mwezi wa 6 Sasa sijampatia mpenzi wangu ujauzito, Je ushauri jamani nifanye vipi kiafya ili aweze pata ujauzito
11 Foods To Increase Libido
These foods will increase your libido so that you can devour her all night long.
By Derrick Nelson, Sex Education Correspondent
Page 1: 11 Foods To Increase Libido...
Mtu mwenye afya bora ambaye anazingatia balance nzuri ya chakula anapata haja kubwa kwa siku mara moja. Siku tatu mpaka nne itatokea tu kwa bahati mbaya akapata haja kubwa mara mbili katika mwezi...
Naomba kuuliza wana jukwaa hili.
Je, Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia? Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?
Wakuu wa Nchi naomba kuuliza hivi mtu akiwa na ugonjwa wa kisukari Anaweza kupata tatizo la kutokuwa na mbegu za kiume ? Na kama ndio Kuna Dawa ambazo zinaweza kumsaidia kurudisha sperms...
Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa kitaalam zaidi.
Mke wangu alipatwa na stillbirth muda wa miezi mitatu iliyopita na alijifungua kwa njia ya kawaida kabisa. Sasa naomba kueleweshwa kama ktk...
habari wakuu,kwa wafamasia,doctors na wafanyabisha wengine wa dawa,naulizia upatikanaji wa dawa Bismuth Subsalicylate na bei yake.,natanguliza shukrani.
Wakuu wa Nchi Wapi nitapata hayo maganda ,Kuna uzi hapa jamii doctor unasema ukichemsha ni Dawa nzuri sana ya Kushusha kisukari type 2 Au kuponyesha kabisa.
Niko Arusha mjini.
Msaada please.
Tohara kwa wanaume ina faida nyingi ikiwa ni pamoja na kuweka uume safi, kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa ya ngono ikiwemo VVU na kansa uume na kizazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.