Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimekaa miaka miwili sijakutana kimwili na mwenzi wangu. Swali; Je, kuna athari zozote zinaweza kutokea. Msaada
2 Reactions
154 Replies
14K Views
Wana jf, Naomba msaada kwa anaefahamu tiba juu ya upofu wa ghafla. Umemkuta jamaa yangu kaenda hospitali ya KCMC mkoani Kilimanjaro amepimwa kila kitu lakini hana tatizo lolote popote.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada hapo jamani iv inawezeka
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekutana kimwili na mpenzi wangu siku y 6 tangu amemaliza siku zake. Je, kuna uwezekano wa yeye kupata mimba? Je, lile bao la pili linaweza likasababisha ujauzito?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada wenu, natokwa na usaha kwenye uume wangu, na hii imenitokea toka juzi. Ilianza siku mbili baada ya kufanya mapenzi na msichana mmoja hivi,nataka kujua ni ugonjwa gani huu...
1 Reactions
40 Replies
24K Views
Habari wanajukwaa. Kwa wajuzi nisaidieni. Mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma ,anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Throughout history the main reasons human beings willfully kill other human beings are religion and greed. Although it is surprising that people steeped in a religion that worships a "loving god"...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Habarini wadau. Hivi juzi nilienda angaza kupima Ukimwi. Majibu yakatoka nikaambiwa niko poa. Yaani negative. Nilitoka na furaha sana. Kiasi cha kutouliza tarehe ya kurudi nilipewa kikadi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kwa miaka minne sasa naendelea kupambana na ascaris kwatumia mitishamba na aina nyingi za madawa ya hospitali, lakini imendikana kabisa. Is there any person with idea to get rid of this fucken...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Hizi ndizo faida ya sigara. 1. Mwizi hawezi kuiba kwako usiku. 2. Mbu hakukaribii karibu yako. 3.Huzeeki bali unakuwa kijana tu. Naam lazima mutajiuliza kwanini hivo. Wacha niwape maana ya...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Ni bidhaa bora zitakazokufanya uwe na afya madhubuti katika mwili wako. Zinauwezo wa kutibu magonjwa yafuatayo:_ 1. Kisukari 2. Shinikizo la damu 3. Kurudisha kinga mwili kwa waathirika wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nasikia kuna hivi vipimo vipya ya ALERE determine viko accurate kwa kiasi gani?
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari zenu! Mi ni mdada ambae natafuta jibu la swali hili. Nimepima Mimba kwa kutumia UPT ila majibu yameonyesha mstari mmoja ambao ndio unaonekana sana. Ia pia ukikiangalia kwa makini sana...
0 Reactions
23 Replies
42K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24, mwili wangu sijui una nini maana nihisi kama vitu vinatembea mwilini na pia naota ndoto za ajabu sana, na kiukweli mambo yangu hayaendi vizuri kila nilipangalo...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Salam wakuu, Ningeomba mtu anaejuwa gharama za IVF (upandikizaji mimba) pale Dar clinic anijulishe tafadhali! Hata kama sio sahihi lakini makadirio yanafikia kiasi gani? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
2 Replies
15K Views
Please naomba kuuliza!Sipendi kutumia condom na mama watoto wangu.JE NI SIKU GANI NI ZA HATAR?NAOMBA NIFUNDISHWE MZUNGUKO ULIVYO.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi?,wanajamvi mimi ni mgeni katika jukwaa la Jf doctor, Naomba ushauri kwa wataalamu wa mazoezi ya viungo na mwili kwa ujumla. Mimi ni kijana umri miaka 23. Nahitaji kuwa na Mwili wenye nguvu...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba kujua nini kinasababisha mtu anapojisaidia haja kubwa, shahawa kutoka kwenye uume (mwanaume) ni tatizo lililotokea kwa muda sasa. Msaada wa kitaalam.
0 Reactions
25 Replies
21K Views
Naweza kukaa wiki mbili mpaka tatu bila kupata choo kikubwa, mwenye ufahamu namna ya kutatua tatizo hili anisaidie.
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Habari mdau, Samahani kuna uwezekano wa mimba kutokuonekana kwenye mkojo? Naomba kupata ufahamu juu ya hilo.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…