Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu. Ki afya siko vizuri kabisa toka juzi nilizidisha kilevi nikaenda kulala nimeamka jana kila nikipiga hatua miguu inauma hatari kwenye maeneo ya mapaja ndio usiseme hatua 5...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
DELETED
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hali hii imenitokea miezi mitatu sasa,siifurahii na inaniondolea kujiamini.Situmii vidonge wala sindano vya majira.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nna tabia ya kubana mkojo for so long mpk nifike om ndo nikojoe,ss leo nimebana mpk nikasikia maumivu kwny kiuno na wakat mwingine nikibana mpk kibofu kinauma na nikikojoa machoz kwa mbaaaali...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari, Mimi ni Kijana 25years . Nina tatizo la kukosa usingizi takribani miaka mitatu sasa, Ninalala mapema saa nne usiku lakini usingizi nakuja kuupata saa kumi au saa tisa, hali ambayo...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
What is the Difference Between a Sociopath, a Compulsive, a Pathological, a Chronic, and a Habitual Liar? A Sociopath A sociopath is typically defined as someone who lies incessantly to get...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Afya ni hazina kubwa katika nyanja zote muhimu. Napenda tujadili afya huku tukilenga matatizo yanayomkumba kila mtu na kuyapatia ufumbuzi. Karibuni kwa maswali.
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Ushauri please, Mimi na mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka kama 2 sasa. Kwa zaidi ya mwaka nimekuwa na matatizo ya erection na kukosa hamu kabisa ya mapenzi. Nashindwa kabisa...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA AFYA YAKO SOMA !!! Azam company ni kampuni inayorisha Watanzania na nchi nyingi kusini mwa jangwa la Sahara. Mzee wetu huyu amekuwa msaada mkubwa kwa Watanzania na nchi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndege wangu hawataki kuzaliana kwa spidi kubwa. Naomba mnisaidie wandugu niwafanyeje hawa wazaliane kwa sanaa?? kwa ku-BOFYA HAPA tafadhali. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF. Ndugu zangu kuna shida inamsumbua jirani yangu,nimeona niilete hapa jukwaani ili tuone namna yakumsaidia huyu binadamu mwenzetu. Kuna familia moja (majirani zangu) walipata...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari Wakuu? Naomba kwa mwenye kujua anifahamishe juu ya dawa nzuri ya Ameoba.
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Ni ugali dona na samaki wa kukaanga kwa mafuta ya alizeti.Ni dozi ya kila siku asubuhi saa1.Binafsi situmii chai maana sijawahi kuipenda chai.Msaada tafadhali jee kuna madhala yoyote ntayapata...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Painful or even mildly uncomfortable sexual intercourse is usually the first sign for a woman that she may have a condition known as Vaginismus. According to some women, the sensation can be...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Habr wapendwa, mimi nina swali kwenu madaktari wa JF. Je naweza kutumia maziwa fresh kama chakula changu cha kila siku?yaani siku nzima natumia maziwa fresh,je nini faida yake? na madhara yake ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu kuna dispensary moja ya private nimeenda nimeambiwa nina typhoid nauza hivi hiki kipimo kinaweza kuchukuliwa kwa dk 15
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ok [/SIZE]
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wataalamu waeleza haya kwa uwazi ktk attachmentzangu hapo chini,ombi langu wanaojua lugha vizuri ya kiingereza wajaribu kutafsiri kwa manufaa ya wengi na jambo la kusikitisha hakuna madaktari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam kwenu. Naombeni kujuzwa nina mwezi wa pili sasa TAYA yangu inapekecha nikiwa nakula na ni upande mmoja. Nahisi alignment yake imepishana. Msaada ni dawa gani au matibabu gani naweza pata.
0 Reactions
0 Replies
834 Views
TAMBUA VYAKULA VINAVYOSABABISHA UGONJWA WA SARATANI UTAFITI mbalimbali uliokwishafanywa unaonyesha kuwa magonjwa mengi ya saratani (cancer) yanatokana na vyakula tunavyokula kila siku katika...
3 Reactions
32 Replies
15K Views
Back
Top Bottom