Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Tusime herbal Wanajamii forum ninapenda kujua kama kuna walio interested au wana uitaji wa dawa hii,bibi yangu kanirithisha dawa ambayo Nafikiri kama angejua mapema umuhimu wake kwa siku hizi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Ninaomba kujuzwa namna ya kumuondoa huyu mdudu aina ya KONOKONO kwenye mazingira ya nyumba yangu, hali ya hewa ya jiji la Arusha ni baridi na hata wakati wa kiangazi unaweza kuta mvua...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Habarini wadau, Mimi ni kijana mwenye miaka 22 tatizo langu nasumbuliwa sana na kutekwa na janga hili la kuangalia picha za ngono na kupiga sana punyeto naweza kwenda hata mara 6 kwa siku na huu...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu? Mimi ni kijana niliyekulia na kusoma katika mazingira ya dini na maadili,mimi toka nasoma najua sigara ni hatari kwa afya na matangazo na vitu nilivosoma kuhusu ubaya wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa nn hamna vidonge vya heparin
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Je, unatumbo kubwa? Huna makalio? Huna dimple cheeks? Miguu yako ni fito? Huupendi mwili wako wote? Jibu: Sikiliza video!
0 Reactions
0 Replies
671 Views
wakuu nahitaji kupata mafuta ya Nazi kwa ajili ya dawa...kwa kunywa si Yale ya kupaka..yawe hayajachakachuliwa...nitashukuru wakuu
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wanaJF, Nimekua nasumbuliwa na allergy kwa miaka sasa....tafadhali mwenye kujua tiba ya kudumu. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
20 Replies
35K Views
Wakuu nina tatizo la sugu za visigino ambalo nililitoa kwenye maboot ya jeshini mwaka juzi. Sasa mpaka leo hazijakwisha na zinanitesa sana maana zinaniharibia viatu sana. Naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Medical staff have lots of odd stories – not least from those working in sexual health clinics. And this early experience of a sexual health case from then-student nurse, Poppy Ward...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24, niliwahi kucheza rafu na msichana mmoja nikampa ujauzito tukafikishana mbali mpaka nikakabidhiwa niishi nae lakini baada ya ujauzito kufikisha miezi mitatu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa amani iwe kwenu. Samahani nimetoka kuongea na rafiki yangu muda mfupi uliopita akanieleza jinsi ***** anavyoumwa,analalamika mwili kuwaka moto kama mtu anamuunguza na kaa la moto, hiyo...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Jamani kwa yoyote anayejua dawa ya chunusi (upele) wa usoni naomba aniambie maana nmetumia dawa lakini bado hazijaisha..
1 Reactions
13 Replies
24K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina mke mmoja ambaye ni mjamzito, Tatizo langu maisha yangu yamekuwa na mikosi au kivingine mazingaumbwe, kila napofanikiwa kidogo napata matatizo makubwa...
0 Reactions
4 Replies
914 Views
Wanajamvi toka nimejamiiana na mdada mmoja naona ute mweupe mzito unatoka kwenye uume na wakati wa kukojoa mkojo unauma unapotoka. Je ugonjwa gani na nitumie vidonge gani ili nipone, naomba msaada.
1 Reactions
34 Replies
15K Views
Habari za mda huu wadau Nauliza kwa hapa Tanzania hawa wataalamu wa neurons wapo? wanapatikana hospitali gani? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habar za majukumu wakuu? Nina tatizo la kuumwa mgongo hasa chini ya bega la kulia kidogo, pia mara nyingine nikiinama kwa muda mrefu kama nafua nikiamka mgongo wote unauma au sehemu ya chini...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
*In collaboration with the Ministry of Health and Social Welfare and EngenderHealth, World Lung Foundation expands Thamini Uhai (Value Life) campaign to promote family planning* (May 25 2015...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau mimi nahitaji kuongezeka uzito, ila uzito wa afya usio na madhara. Nifanyeje? Kuna jamaa wa forever living wanazo dawa za kuongeza uzito, kuna mtu anaexperience nazo? Nipeni ushauri wadau
0 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari za kazi wadau. Naomba mnisaidie, mwanangu ana miezi kumi now lakini bado utosi wake unapiga. Hili ni tatizo ama? na je nifanyeje ili utosi wake uache kupiga (ukaze)?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom