Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wanajamvi, Naishi katika nyumba ya kupanga na tumepanga familia tano mwenye nyumba anaishi mbali,alianza mpangaji mmoja kuugua miguu. Yaani inauma kama inachomwa moto, baada ya wiki mbili...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimekuwa napata shida sana wakati wa usiku ninapokuwa naendesha gari barabarani, yaani nikipigwa taa na gari mbili tu basi naona maluweluwe tu, nalazimika kuwasha full light hadi mjini hivyo kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya UNENE wa mwili na mtu kuwa mchafu (jasho, kutokujitawaza vizuri & kula kula ovyo). Chunguza wadada wengi wanene (hasa wenye wezere/ mzigo mkubwa) wengi wao ni...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Herbs For High Blood Pressure Blood pressure is the pressure on the walls of blood vessels, exerted by the blood as it is pumped through them. The modern lifestyle and stress has lead...
6 Reactions
22 Replies
70K Views
tafathali sana naombeni msaada wenu, mimi huwa sina hamu ya kula na mara nyingi huwa nasikia tumbo limejaa, asubuhi nasikia uchovu sana na tumbo linakuwa linauma ila nikiamka tu linatulia
0 Reactions
7 Replies
20K Views
Wana JF, Kwa wale wenye matatizo ya meno, kuna dawa ya meno inayotibu kabisa na kuimalisha meno yako bila kung`oa. Ni dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa shubiri na kuchanganywa na asali. Inasaidia...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
WanaJF, Naombeni kufahamu au kuelekezwa nitakapo mpeleka Mtoto wangu Kwa ajili ya matibabu ya sikio kwa sababu nina watoto mapacha wa kike na kiume. Kilichofanyika wa kiume kachukua kijiti na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naombeni mnielekeze dawa. Ulimi wangu umechubuka na umetoka vipele kwa ndani karibu na koo.. Hii imetokana na kuwa nina tabia ya kumpiga deki mpenzi wangu, ni kama miezi 6 mfululizo sasa...
0 Reactions
67 Replies
15K Views
Habari wapendwa mm ni mama nina mtoto mmoja sasa nilipobeba mimba nilipata sana taabu sababu nilikuwa natema sana mate pia nimetema mate mpaka Siku ya kujifungua sasa naomba km kuna yeyote...
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Jamani mimi nina matatizo tena makubwa sana lakini nadhani kupitia jamii nitafanikiwa. Mimi bwana nina UUME mdogo,lakini ninadisa vizuri tatizo nikipizi maramija ninashindwa kurudia hadi baada ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani mi nina shida moja ambayo ningeomba wanajamvi wenzangu kama kuna mwenye ufahamu anisaidie nina mtoto mmoja ambaye ana umri wa miaka minne now, matiti yangu ni madogo kiasi ila mwonekano wa...
0 Reactions
26 Replies
15K Views
Huwa nikimaliza kuoga uso unapauka na kuwa kama msukule yaani ukiniona lazima ucheke. Hata nikipaka mafuta nakuwa kama sijapaka bado nimepauka mpaka ipite muda ndio nakuwa kawaida, na unga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tafadhali naombeni msaada, Kwa mtu yeyote anayejua tiba ya mtu anayependa kula magodolo.Ninaye ndugu yangu mwenye tatizo hilo na imekuwa vigumu kwake kuacha kiasi kwamba inatishia uhai wake...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Brain enhancing 'modafinil' is the world's first safe "smart drug" according to researchers at Oxford University and Harvard Medical School, who confirmed it really does enhance mental...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu, Mimi nina mimba ya mwezi mmoja lakin kuna utofaut niliona,nilianza kuumwa sana tumbo gafla afu damu zikaanza kunitoka. Lakini nikaulza nilijibiwa ni kawaida damu inaeza...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tusime herbal. Wanajamii forums, ninapenda kujua kama kuna walio interested au wana uitaji wa dawa hii,bibi yangu kanirithisha dawa ambayo Nafikiri kama angejua mapema angenufaika nayo ila sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar jamvini, mimi tatizo langu kubwa ni cna hisia kabisaaa za kudo, hta tukicheza cheza dakika mbili hisia zinatoweka nabaki empty. Hii shida inanitesa nilienda kwa gyno mmoja akaniambia...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Can taking Viagra make you go deaf? Hundreds of cases of hearing loss reported among users It may help you reach the heights of passion, but Viagra could stop you enjoying the pillow talk...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Grafu hapo juu inaelezea, wanawake walio kwenye ndoa kuanzia umri wa miaka 15-49 na matumizi ya njia za kisasa za Uzazi wa Mpango. Grafu hii inaonyesha kwa Tanzania asilimia zinaongezeka japokuwa...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Cholera is an infectious disease that causes severe watery diarrhoea, which can lead to dehydration and even death if untreated. It is caused by eating food or drinking water contaminated with a...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom