Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani eeh, Sina fedha wala dhahabu ya kuwapeni wenye tatizo la upungufu wa damu kama vile wagonjwa na wanawake wenye ujauzito, ila nilicho nacho leo nawapa. Niwapacho ni maarifa ya kutengeneza...
2 Reactions
8 Replies
13K Views
Natanguliza heshima ya pekee kwa forum hii ya kada ya afya ya uganga(doctor), Ni dhahiri jamii inanufaika kwa hili pamoja na yoote napenda kuchukua fursa hii kuwa introduce kada ambayo pia ni ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wakuu, Dawa gani atumie mtu mwenye umri wa miaka 24 mwenye oral thrush?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wataalam wa afya... Naandika uzi huu kuomba ushauri wa tiba kuhusiana na tatizo linalonisumbua. Mimi nasumbuliwa na viupele vidogo vidogo kwenye ngozi ya juu inayofunika jicho...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hivi mwanamke anaweza kujua kama ana mimba ndani ya saa 24 tangu alipofanya mapenzi? Naomba majibu ya swali hilo.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Poleni na heka heka za siasa. Sasa tukirudi kwenye mada zetu zisizohusiana na siasa, ningependa kujua kuwa kungu zina effects gani kwenye macho. Ninachojua mboga za majani na carrots zinaongeza...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Nitaeleza namna ambavyo watu wanene wanavyoweza kupunguza uzito na kuendelea kuwa na uzito unaoendana na urefu wa miili yao (Body Mass Index – BMI). Kabla sijaeleza mambo muhimu ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za muda huu wakuu Naomba msaada wa kujulishwa ni aina gani ya vyakula ni mzuri kuliwa na mama anayenyonyesha ili kulinda afya yake?
0 Reactions
5 Replies
22K Views
Linaweza kuonekana swali la kipuuzi ila kwawasaikolojia na great thinkers wanatambua. Leo nikiwa hospitali, kuna mgonjwa mwenye umri wa zaidi ya mika 55 alilia kwa maumivu makali. Hata hivyo...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Habarini Wana Jukwaa, Mimi nina mke wangu alijifungua kwa upasuaji 0ktoba mwaka jana, sasa kuanzia mwezi Mei mwaka huu alipata siku zake ila imetokea ghafla hajaziona! Hapo kuna nini...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
whitening creams cause the negative health effects associated with them, ranging from white spots and acne to cancer. If applied liberally, the cosmetics can also cause high blood pressure and...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Za asubuhi wakuu. Hivi bima inayotolewa na NHIF ambayo sio green card ninaweza kutumia kupata huduma ya X-ray na ultrasound? Na kama haiwezekani, ni bei gani?
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Kwa wale wenye vitambi. Kuna mkanda wa tumbo unaitwa Hotbelt. Huu mkanda ni mwisho wa matatizo Nicheki whats app 0786371108 kwa maelezo zaidi Bei yake ni shilingi 50,000 tuu
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wanajukwaa. Nina tatizo la kiungulia, kinanisumbua sana, sasa kina muda mrefu, yaani leo kipo kesho hakipo au kinafululiza. Mara nyingi kinakuja usiku muda wa kulala...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Ndugu wana jf nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu kwenye joints za miguu na mikono nilivyopima nikaambiwa nina ugonjwa unaoitwa rhematoid arthritis na nikaambiwa kuwa ugonjwa huu hauna tiba na sasa...
0 Reactions
13 Replies
13K Views
Habari wana JamiiForums, Nikiwa kama kijana, mara nyingi zaidi ninapokuwa na Wifi/Shem wenu huwa hata akifanyaje huwa nachelewa kukojoa (kupiz) bao. Naomba mwenye ufahamu ya hali hii.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nina umri wa miaka 30, nimezaa mara mbili ila nina mtoto mmoja wa miaka 10, mwingine amefariki. Tatizo nililonalo ni kutopata ujauzito. Napata hedhi kwa mzunguko wa kawaida ila naweza nikaingia...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari.Non-tongue roller ni mtu asieweza kukunja ulimi wake kutengeneza duara.Katika pita pita zangu, kusikiliza redioni, na kuangalia kwenye tv, nimegundua, kunaidadi kubwa ya watanzania vijana...
1 Reactions
34 Replies
8K Views
Wakuu, Nimeamua kuomba ushauri baada ya kusumbuliwa na magonjwa kwa muda wa zaidi miaka 30 sasa. Tangu nianze kujitambua, sijawahi kaa zaidi ya mwezi bila mwili wangu kuwa na maumivu sehemu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii nataka kujua unaweaje kuufanya uume mdgo kuwa mkubwa na je kuwa na uume mdogo kuna weza changia ucpate mtoto
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Back
Top Bottom