Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nina shangaa kuna jirani yangu alikuwa na VVU miaka mitano imepita akawa bado hajaanza kutumia dawa kwa kuwa CD4 hazijashuka. Ila cha kutushangaza ni kwamba kapimwa na madaktari kuangalia kama...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Habari za asubuhi, Ni kwamba niko ugenini pande za wasukuma huku vijijini Kilimatinde ndani kabisa,sasa katika kuamka asubuhi imeandaliwa breakfast ya maboga na maziwa ya mgando. Sasa katika...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Tatizo la Unene Uliopitiliza (Obesity) Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za Jumatatu ndugu zangu, Siku tano zilizopita Mungu alinijaalia mtoto wa kiume. Sasa kuna baadhi ya watu wameniambia kuwa, kitivu cha mtoto kikidondokea kwenye uume wake mtoto anakuwa si...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari wakuu, Naomba kujua madhara ya kunyoa ndevu kwa kutumia magic powder. Maana leo nilingia saloon moja kinyozi akaniambia magic powder ipo lakini kuna mteja mwingine alibishana sana na...
0 Reactions
31 Replies
17K Views
Habari zenu wanajamvi, Mpaka naandika hapa kuhusu hili tatizo nililonalo la kuanguka na kupoteza fahamu ambalo lilinitokea kwa mara ya kwanza mwaka 2013 nikiwa na miaka 30. Nilianguka ghafla tu...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Habarini ndugu, rafiki na jamaa zangu wa humu? Nina swali la kupewa ufumbuzi kimsaada zaidi. Hii itawahusu wazazi wote na wataalamu wa maswala la watoto wachanga. Stori inaanza hivi; Ni...
0 Reactions
9 Replies
26K Views
Jamani mtu anaweza kufanya mapenzi na mwanamke mwenye UKIMWI kama mara tano asipate?Baada ya kugundua mwanamke kaathirika alienda kupima ila alikutwa negative? Pia nauliza tena kuambukizwa...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Tafadhali nijulisheni dawa ya kuponya tatizo la NYONGO mwilini. Je tatizo la nyongo ndilo heartburn kwa Kiingereza? naomba msaada.
0 Reactions
53 Replies
43K Views
Leo ktk maswali na majibu juu ya suala la Upungufu wa kinga mwilini,daktari wa kipindi cha radio hiyo aliulizwa,je,mtu mwenye virusi akishiriki tendo la ndoa na mwenza asie na virusi anaweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua inawezekana mwanamke kukosa kisi.mi kama hajakeketwa? Msaada tafadhali
0 Reactions
37 Replies
11K Views
​ Leo ktk maswali na majibu juu ya suala la Upungufu wa kinga mwilini katika kipindi cha radio moja,daktari wa kipindi cha radio hiyo aliulizwa,je,mtu mwenye virusi akishiriki tendo la ndoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani madokta mtujuze kuhusu hili, ni chakula au dawa mjamzito akitumia mtoto atazaliwa ana nywele nyingi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF naomba kuuliza ni wapi hapa Dar es Salaam hospitali nzuri kwa ajili ya huduma za kliniki kwa wanawake wajawazito ... nilikuwa na mpango wa kwenda Marie Stopes lakini naambiwa sio wazuri...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Amani iwe kwenu, Naomba mnujuze kuna uhusiano gani kati ya wasiwasi au hofu na kuanza kuuma kwa tumbo? Kwanini nimeuliza hivi, Ni mara nyingi hii hali hunikuta . Pia hata ndugu zangu huwakuta...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Msaada tafadhali, Je, kuna madhara yeyote ya chumvi kwa mtoto anayenyonya, mwenye umri chini ya miez 6? Hii nimeikuta Ugweno hukoo, mama alojifungua anapewa chakula cha bila chumvi anaambiwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Naomba kusaidiwa katika hili,niko kwenye dozi ya clomid, lakini kila nikimeza dawa hizi nahisi maumivu katika mguu wangu wa kulia kwa chini,yaani kile cha kukanyagia,je kuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom