Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau, Naombe mnisaidie namna ya kutoa kifupa cha samaki kooni. Nimekula samaki, sasa kifupa kinakwaruza kooni noma.
0 Reactions
31 Replies
10K Views
Wadau, Naombeni ushauri wenu, Mm ni Kijana wa 33yrs, nimefanyiwa upasuaji wa tumbo ikiwa ni pamoja na kuondolewa kidole tumbo,(Apendex) ila na utumbo ulikuwa na shida hivyo walinipasua kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jaman kunautafiti flan ambao na mi nimeufuatilia nimeona inawezekana unaukwer. kua % kubwa ya wanawake wanaopata UTI ni wanajihusissha sana na Ngono kwa njia ya mdomo yaan wanaita kuzamwa chumvin...
0 Reactions
22 Replies
12K Views
Habari wakuu. Nina ujauzito wa miezi kama miwili. Leo nashangaa kuna siku zangu. Ni nini shida na nifanyeje. Uwiii.
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kwa ufupi Kumekuwepo na taarifa kuhusu uwezo wa mafuta ya nazi kutibu ugonjwa wa kusahau unaowakumba wazee uitwao ‘Alzheimer's disease' wakati huohuo ikiripotiwa kuwa baadhi ya dawa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Jamani heshima kwenu wote! Naheshimu mawazo na ushauri wenu., nina sumbuliwa na tatizo la kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa nikiwa ni mwanamke hali inayopelekea kutofurahia kabisa...
0 Reactions
44 Replies
34K Views
Habari doctors, Kuna dawa nyingi ambazo mtu na hasa mtoto anapewa kama hana ile hamu ya kula na kigezo ikiwa ni minyoo...so anapewa dawa ili apate hamu ya chakula. Swali langu ni, Je hakuna dawa...
0 Reactions
15 Replies
16K Views
Nina tatizo la kuwasha ndani ya pua na kuchubuka. Pua zangu huwa kavu ndani bila unyevunyevu, hali inayopelekea kuwasha na kusababisha nitumie vidole kujikwangua na kusabisha kujichubua...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Jamani mwenzenu naumwa balaa na hivyo viwili yaani nimelala tu siku nzima. Namafua makali sana na nasikia baridi balaa.
1 Reactions
55 Replies
9K Views
Heshima kwenu wakuu. Mimi ni kijana mwanaume ambaye nina miaka 2 toka nianze kazi. Lakini nilioanza nao kazi wametoka mashavu balaa ila mimi ndo kwanza nazidi kupungua wakati nakula vizuri ila...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
jamani mnisaidie nina tatizo la kusikia njaa yani nikila saa 3 asubuhi breakfast,saa 8 mchana lazima nisikie njaa nikila lunch basi saa mbili usiku lazima njaa iume tena jamani nisaidieni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakulu wa jukwaa hili eti kwa mfano umezaa na mdada halafu wewe ni group A+ wakati la mama yake ni A+ vipi ikiwa mtoto katoka na group O+ inawezekana kibaologia au ndio nimebambikiwa mtoto sio...
0 Reactions
239 Replies
40K Views
Wadau nakuja jukwaani hapa kuomba msaada mmoja tu,napenda kujua je ni muda gani unaruhusiwa kupata alcohol baada ya kunywa dawa ya malaria aina ya ekelfin,kuna mdau ameniambia kua ni 200...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Jana wakati nasafiri kuelekea mwanza tulifika maeneo ya usagala tukakuta kuna kundi kubwa la watu,watu hao walikuwa wanashangaa tukio la wafungwa walio ruka kutoka katika gari la polisi mmoja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kwa mwanamke ambaye hajawai kupata mimba kabisa,siku zake za hedhi hazina mpangilio maalumu na amegundulika kitaalamu ana Polysistic ovarian syndome(vivimbe vidogo vidogo kwenye...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Habarini wapendwa! Anaitwa Dokta Cosan anatoa tiba kwa wanaosumbuliwa na matatizo yafuatayo. 1) Nguvu za kiume 2) Ngiri 3) Kisukari 4) Fangasi na mwasho sehemu za siri 5) Kushindwa kuzaa kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wapendwa. Kuna mtoto wa jamaa yangu ameugua kama wiki tatu hivi, vipimo vilionesha ana uvimbe kwenye ubongo. Hivo anatakiwa aende India kwa matibabu, siku walioanza kufanya...
1 Reactions
22 Replies
21K Views
Habarin wapendwa, Nauza pedi zilizotengenezwa kwa mimea asili na ni dawa kwa wenye matatizo sehemu za siri. Mfano mwasho,fangasi,kutoziona siku zako n.k. Nakuletea popote pale ulipo. Nitafute...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
World's first malaria vaccination approved after 30 years of trials © AP Baby receives a malaria vaccine as part of a trial in Kombewa, Western Kenya Scientists across Africa are celebrating...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Kwanza mniwie radhi kwa Title yangu namna nilivyo iweka hapo juu. Nikwamba mie nina Ndoo na gereni(Mke&kimada) ila nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo, mara kwa mara ninapo lala huota ndoto kuwa...
0 Reactions
13 Replies
19K Views
Back
Top Bottom