Mambo vipi wanajamii,
Mi mwenzenu nasumbuliwa na malaria mara kwa mara na haya madawa ya hospital hayanisaidii,kifupi huwa siponi kiasi kwamba najua itakuwa ndo hiyo malaria sugu.sasa kama...
Nimekuwa mgonjwa kuanzia mwaka 1994 ambapo mpaka sasa nina miaka 19 nikiwa mgonjwa. Dalili za tatizo langu ni hizi:
1. moyo kwenda mbio na kutokwa jasho kiasi cha kukosa hata usingizi,
2. Mwili...
Malaria sasa naona haitibika maana watu wengi sana hata wakinywa hizi dawa za Metakalfin, Arinet lakini baada ya wiki malaria iko palepale.
Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi...
ni vipele visivyo na kitu ndani ila vigumu vinazidi kututumka na kusambaa vipianza kifuani shingoni sasa hadi usoni nimeenda hospital mara nyingi dawa nimetumia ila hazisaidii
msaada wenu jamani...
Sodas and other sugary drinks may cause up to 184,000 deaths a year worldwide, according to a study published Monday in the journal Circulation.
Billed as a first, the report analyzed the global...
Habarini wana bodi
Nimeleta mrejesho waungwana baada ya kufanya vipimo vya kutosha sasa naomba msaada tafadhari. Nimekuwa nikisumbuliwa na vichomi maeneo ya tumboni, kibofu na pumbu kuvuta ni...
Habari zenu wanaJF,
Mimi ni kijana wa kiume ninayesumbuliwa na tatizo la kichefuchefu na hatimaye kutapika. Kila nikila nyama hiyo hali inanipata. Naombeni msaada wenu wakuu wa JF.
Mungu...
USIVUTE SIGARA Ni dhahiri kuwa sigara ina madhara kiafya, kwa ujumla wake watu wanashauriwa kuacha kutumia. Lakini inaelezwa kuwa madhara yake huongezeka mara kumi iwapo mvutaji atavuta mara baada...
Salam,
Mwaka jana niliomba ushauri kwa tatizo la kukosa uzingizi. Watu wengi walinipa advice na mwishowe nikaupata. In fact nilipewa dawa ya kunywa kwa kusaidia hali yangu ya kawaida kurudi...
Wadau msaada katika hili, binti ana miaka mitatu toka amezaliwa, tatizo la vidonda kichwan kila nywele zinapoota kichwan. Nimehangaika na dawa na ushauri tofauti tofauti lakini mafanikio yamekuwa...
naomba wataalam wetu tusaidiane ktk hili..kuna huu ugonjwa unaitwa kleoid kama sijakosea ila nyie mnaujua zaidi..yaan kuna kuwa na vipele fulani ambavyo ni sugu na wengine huja kuwa ni uvimbe kbs...
Hii kitu imenishangaza sana na hii inadhihirisha sayansi bado ina safari ndefu..
Hivi majuzi huko UK mwanamke mmoja amekutwa na mimba mbili za wanaume wawili tofauti kwa wakati mmoja na amekiri...
Salama ndugu zangu,leo nawaletea habari nzuri inayohusu afya zetu sisi sote. Ni kwa kipindi kirefu nimeona watu waki-post matatizo yao huku bila kupata suluhisho la matatizo yao. Lakini leo...
Jambo wadau
Umri wangu ni miaka 20 tatzo langu uume wangu unasisimka na kupata hisia za kimapenz pale demu akiwa mbali na mm,but nikiwa naye karbu na nataka kufanya nae mapenz uume hausimami wala...
Jaman ni wk sasa toka nijkate kdole na bati, baada ya kwenda hospital nilishonwa nyuzi na kuwekewa dawa.tatizo lina kuja baada ya kidonda kufunga kidole kimekufa ganzi.wakubwa hii inatokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.