Kuna msichana niliekuwa nae alikuwa ana ujauzito ya kama wiki tatu hivi,kwa kutokujua alitumia dawa aina ya flagyl bila kujua kuwa ingemletea madhara.baada ya hapo ilibidi aende kwa docta kwani...
HIV breakthrough as Cuba becomes the first country in the world to eliminate mother-to-child transmission of the virus
World Health Organization hails big step 'towards Aids-free generation'...
Takwimu za mwaka 2014 zinanonesha kuwa asilimia 46 ni maambukizi ya kaswende, ilihali asilimia 32 ni maambukizi ya kisonono, huku maambukizi ya maradhi ya "chlamydia" ikiwa kwa asilimia 26...
Habari ndugu zangu,
Kama mada inavyoeleza apo juu,n ikwamba mwenyezi Mungu kanijalia kupata watoto mapacha wawili wa kiume na wa kike.Mpaka sasa wana miezi minne maana walizaliawa na miezi 7...
Samahani wandugu,
Naomba msaada; mwanamke anawezaje kujua kuwa ana uwezo wa kubeba mimba na kuzaa? Anatakiwa kupima kipimo gani ili kujua kizazi chake kiko vizuri na ana mayai?
Naomba...
Wakuu,
Kwa watazamaji wa DSTV, watakubaliana nami kuwa kuna wakati walikuwa wakirusha vipindi vinavyoonyesha jinsi surgery za kupunguza unene zinavyofanyika. Nilipata tetesi hata Mustafa...
Jamani wakuu,
Naombeni mnisaidie: Dawa ambayo hutumiwa na watu wenye vidonda vya tumbo aina ya Zosec (Omeprazole) ina madhara yoyote kwa mjamzito?
Kama yapo, ni yapi?
Naomba kujua kinachosabaisha Ualbino kitaalamu zaidi, maana katika kuuliza uliza kila mtu amekua akinipa jibu lake, wengine wanasema ni kurithi, unakuta baba ni mweusi na mama ni mweusi lakini...
Doctor!
Nina umri wa miaka 23, toka nizaliwe sijawahi kukuuana na mwanamke, lakini sometime napata hamu sana ya kufanya mapenzi na kuna wakati sperm huwa zinatoka kwa wingi hasa nitakapofikiria tu...
Habari wanajamvi,
Nilifiwa mtoto tarehe 22.4.2015, akiwa na miezi 8. Nimeishi kwa majonzi mno mpaka watu wakaniambia naweza kosa mtoto tena.
Je, ni kweli kwamba ukiwaza sana unakosa mtoto?
Wataalam naomba mnisaidie,
Ninaishi mbali na mume wangu, tangu aje likizo huku niliko ni mwezi sasa. Tatizo nililo nalo: kwa takriban wiki ya pili sasa chuchu zangu zinawasha sana.
Tatizo...
Tunatoa tiba ya Kisukari, Pressure, upungufu wa cd4 na nguvu za kiume, matatizo ya miguu, chango na maradhi mengine. Dawa zetu ni nzuri na zimethibitishwa, na zitakufikia popote ulipo Tanzania...
Habari?,
Samahani naomba niambiwe tiba ya vipele kwenye ngozi kwa mtoto au doctor bingwa zaidi wa magonjwa ya ngozi kwa watoto.
Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano...
Ni kwa miezi kalibu miwili nilikua nikisumbuliwa na maumivu kwenye magoti kila ninapopanda ngazi au nikikanyaga sehemu yenye muinuko laikini kwenye tambalale sisikii maumivu. Sasa kwasasa yapata...
Dokta Adeeb wa Hospitali ya Karachi, ambaye ni mtaalamu wa figo, ametoa tamko kwa kila mtu kutokunywa vinywaji vya baridi kama Pepsi, Cocacola,7up na nyinginezo wakati wa kufungua SWAUMU kutokana...
Habari wakuu,
Samahani, mi nauliza, je, kuna madhara yoyote kwa mwanamke mwenye mimba changa kama wiki moja kutumia hizo dawa? Pia kutoka na vidonda mdomoni (ukosefu wa vitamin B nadhani) kuna...
Naombeni mniambie walau Lugalo, Ifakara au Kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike .
Tafadhali madaktari, wauguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.