Habari zenu jamani,
Mimi ninarafiki yangu anatafuta mtoto tangu mwaka jana hapati, yeye na mumewe wapo tayari kuzaa ila ndo mimba haishiki. Huko nyuma aliwahi kutumia njia za uzazi wa mpango za...
Habarini wadau,
Poleni na majukumu nipo hapa kuuliza je msichana anaweza kupoteza usichana wake bikra bila ya kutokwa na Damu kwa mara ya kwanza baaada ya kufanya mapenzi.
Lets assume kwamba...
Je wewe ni mwanamke mwenye tatizo la kushika mimba, Kupata hedhi kusikotarajiwa? Pata dawa mpya yenye tiba ya Asili FEMININE HERBAL COMPLEX, Kwa maelezo zaidi Nipigie 0719 252523
Je unajua kuna ugonjwa ambao tiba yake ni kula kinyesi? NDIO unakula mavi yaani choo cha binadamu.
Ugonjwa huo unaitwa ulcerative colitis unasababishwa na bacteria C.difficile. Ni ugonjwa ambao...
Nilisaga unga wa mbegu za mlonge. Nikaweka kijiko kimoja kwenye chai siku ya kwanza, tumbo langu harikua poa siku hyo niliarish kidogo. Siku iliyofuata ikawa hvyo hvyo. Sasa ndo nilikua natoa...
Jambo wadau!
Umri wangu miaka 20 but kila nkikutana na msichana kuongea nae mazungumzo ya kawaida tu uume wangu husimama fasta na kutoa majimaji mpaka nalowesha boxer yangu.
Je hili ni tatizo au...
Natumaini wote ni wazima wa afya napenda mnijuze kwa mapana juu ya blood groups tofauti ya group moja na nyingine ni nini? na je kila kila group ina tabia gani faida na hasara zake, naomba...
Binadamu tunatumia pesa nyingi sana kutunza makucha yetu, bila kuzingatia ya kwamba hamna kitu chochote kile utakacho nunua chenye kufanya makucha yako yakue haraka na kuwa imara.
Makucha yana...
Unajua jinsi ya kuhesabu mateke ya mtoto tumboni?
Kila mwanamke mjamzito anapaswa kujua jinsi ya kuhesabu idadi ya mateke ya mtoto wake.
Mtoto mwenye afya nzuri HUCHEZA; hujinyoosha, hupiga...
Samahani wadau,
Hivi kuna mtu amewahi kutumia mafuta ya kuotesha nywele kwenye kipara na yakamsaidia kweli au ni uongo tu wa hawa watu ili wajiingizie kipato, tafadhali kama kuna mdau amewahi...
Sijaelewa ni saikolijia au nini, imeanza kunitokea tokea wiki iliyopita..kila nikifika nyumbani kwangu tokea ofisini kuna kitu kinakuwa kama kinaingia kichwani, kinakamata kichwa na baadae kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.