Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba kujua nini maana ya "uchili"? katika mambo ya uzazi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni, Naomba msaada wa dawa ya macho yanayo washa,nina vaa miwani takribani miaka 13. Ivi karibuni macho yananiwasha sana na kutoa uchafu mweupe,nimetumia dawa za matone kutoka...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jaman naombeni mnijuze. Hivi ukifanya mapenzi siku ya mwisho ya period bila condom unaweza kupata mimba? mfano start 15 end 19 january, tarehe hiyo hiyo 19 january ukafanya je uwezekano upo?
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Wana jf kuna dawa ya kuchoma kwenye mkaa ni kwa ajili ya kuua mbu, ukweli ni kuwa iko effective kweli ukiichoma tu ule moshi ukitawanyika ndani ya nyumba hakuna mbu anayebaki hai, na mbu...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Wataalamu wa madawa hii dawa inanichosha, kila siku kidonge kimoja, natamani sana bia. Je haina shiidaaah
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti wadau kuna dawa ya allergy ya kula chakula Fulani?
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Wapenz wanajf nimekuwa na tatzo la kuvimba vipunye kichwani yaani ukivitumbua vinatoa usaha! Jambo la kujiuliza tangu nimehamia huku ndo vinaonekana kuwa tatizo hasa na wakati mwingne...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naombeni kuongeza maarifa, maji yapi ni mazuri kiafya kwa kuoga; ya uvuguvugu au ya baridi? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naomba mnisaidie.,nna tatizo la fizi kuuma nikila nyama inaweza kunichukua hata siku mbili nifanyaje maana mpaka nafkiria kuacha kula nyama
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Hili suala hutokea kwa watu tofauti tofauti wakati wakiandaa ripoti hasa zinazohusiana na masuala ya Fedha. Je? Kitaalamu lina adhari gani? ni kiasi gani cha nyongo hutengenezwa na kuleta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama title inavyosema ,tumbo lnanguruma hata kama nmetoka kula muda huo,nahsi n minyoo dawa gan nzur itaondoa tatzo langu. " thanks "
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msaada tafadhali, Nimechoma sindano ya Tetenasi kwenye bega baada ya wiki moja kumetokea uvimbe na kunauma. Nifanyeje ili kuondoa uvimbe huo?
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Wataalam wa tiba naomba msaada wenu wa kunijuza chakula kinachoongeza wingi wa mbegu za kiume maana huwa natoa mbegu kidogo sana. Nafanya ngono almost kila siku, najua hiyo inachangia kupelekea...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
According to a research conducted over ten years on thousands of respondents, too much vitamins in the body pose the risk of one developing cancer and heart diseases. Experts have, therefore...
0 Reactions
3 Replies
737 Views
Napata maumivu wakat wa kujisaidia haja kubwa maumivu kama ya mtu aliekula pili pili nyingi na muda mwingne nawashwa sana,takribani wiki ya pili sasa,najisaidia choo cha kawaida na sio...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa MWENYEZI MUNGU..kwakunipa PUMZI NA AFYA NJEMA. Wapenzi, nina Ndugu yangu ana bleed mwezi wa 3 mfululizo na maumivu makali sana ya Tumbo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Eatinginsects is considered as disgusting or even primitive in Western societies butelsewhere, 2 billion people consume insects on a regularly basis. Now,according to a report released by the UN...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
Mzee wangu ana miaka 52. Tangu 2007 amekuwa akisumbuliwa na FIGO ameenda kutibiwa hadi Seliani. tatizo hii bado lipo; dalili zinazo onekana ni kushindwa kula, kushindwa kutembea, maumivu makali ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
The medical conditions that can turn a woman's sex life to AGONY: Many suffer in silence but could be helped by very simple treatments Dyspareunia - pain during sex - is a surprisingly common...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Napenda kutoa shukrani za dhati kwa watu wote walonishauri kipindi nlipohtaji kujua kuhusu afya yangu ya uzazi na mke wangu alikua hajashika mimba kwa mda mrefu, mke wangu ameshika ujauzito mwezi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…