Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimeona maelekezo mengi kuhusu kutoa kitambi na unene naomba msada njia rahisi na yakisasa zaidi kupunguza unene na kutoa kitambi asante
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wanajamvi,Hivi kuna umuhim wa kujuana groups za damu kwamba zinaendana or not??Jee nini madhara ya groups kutokuendana??Na jee group O aoe mtu wa group gan?Group A,AB pia wafaa kuoana na watu wa...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu! Habari zenu?? Mimi mwenzenu hapa nasumbuliwa sana na usingizi baada ya kupata chakula cha mchana. Tatizo ni nini hasa? Kuna solution ya hili tatizo wakuu??
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Kinapelekea Watu Wanene Kuwa Na Tabia Ya Kujamba Sana Na Hovyo Hovyo Lakini Pia Watu Wembamba Kuwa Ndiyo Vikojozi Maarufu Wa Vitandani? Wanasayansi Karibuni Mtuelimishe!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana JF? Kwa yeyote anayejua matumizi na faida ya mafuta ya MKUNAZI naomba anijuze.
0 Reactions
8 Replies
19K Views
Habar za sahizi wakuu, Najua kwa kufika hap na kuandka hya ntawza kupata suluhisho sahihi kwa kile kinacho nisumbua wataalam wa saikolojia naomba mnisahidie juu ya hili mimi ni kijana me. Kuna...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Asalaam.. Nimetumia aina mbalimbali za mafuta lakini sijafanikiwa kupona...nitumie dawa gani ili niondokane na mba hawa kichwani??
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimekuwa adicted to coffee,nina mwezi mmoja tangu nianze kunywa kahawa seriously sijaona tatizo lolote,je inaweza kuniletea madhara yoyote hapo baadae?
0 Reactions
19 Replies
18K Views
Ndugu zangu wana jamii foum mimi ni kijana wa miaka 27.... Juzi nimeamka asubuhi nikapatwa na mauivu kono wa kulia baadae ukaamia mkono wa kushoto na ukashka hadi kwenye viganja.... Nimeamka jana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu habari za sahizi Nna shida ya nguvu za kiume wana jamvi nafkiri kuna doc anaeweza kunsaidia katika hili au mtu yeyote anaefahamu maswala haya. Tatizo ni kuwa nna wahi sana kufika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Asalaaam..naomba ushauri wenu..nina mtoto mdogo mwenye umri wa miezi 11,ameibua tabia ya kulamba mkojo wake pale anapo kojoa sakafuni...hulala sakafuni na kuulamba...Je anatatizo la kiafya au ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumezuka tabia sugu Ya hivi karibuni kwa madaktari na manesi kupiga picha faili la mgonjwa lenye taarifa Za mgonjwa ila zina misdiagnosis Au mismanagement kwa muktadha wa kuonyesha kuwa daktari...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Naomba mnisaidie kwa anayefahamu dawa ya kuzuia kutapika nyongo kwa mama mjamzito.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naombwa kujuzwa, nitawezaje kumtambua mtu ambae amefariki/amefikwa na umauti?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A devastated mother has told how her daughter died when her metabolism "exploded" after taking diet pills she bought on the internet. Tragic Eloise Aimee Parry, 21, "burned up from the inside"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A devastated mother has told how her daughter died when her metabolism "exploded" after taking diet pills she bought on the internet. Tragic Eloise Aimee Parry, 21, "burned up from the inside"...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Naomba kufahamu madhara ya kiafya yanayoweza kumpata mtu hasa Mwanamke ambaye anaweza akaa hadi siku mbili au tatu bila kuoga na hata kupiga mswaki? Haijalishi ni sababu gani inamfanya anashindwa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Mke wangu anaujauzito wa mwezi mmoja huu ni ujauzito wake wa3 !Ila cha kushangaza unampeleka puta kwa kutapika mfululizo hadi amekonda kwa kutokula chakula cha kutosha kwa wiki mbili sasa ,hivi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wakuu! Nimekuwa na tatizo la kusisimka mwili mpaka kufikia kupandwa na hasira za ghafla pindi nionanapo vitundu vidogovidogo. Vitundu hivyo vyaweza kuwa katika picha, rangi katika wadudu...
0 Reactions
52 Replies
17K Views
Jamani ninasumbuliwa na tatizo la Dushe kutokudinda vizuri tangu 29/2 Mwaka huu nimeoa na nina mke na ninashindwa hata nianzeje kumuambia tatizo langu, nimebaki ku mkwepa kwepa. Nimekwenda...
3 Reactions
31 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…