Habari zenu wakuu..
Nina mtoto wa jamaa yangu anaumwa ugonjwa wa Sickle cell na ndio kwanza ana miaka mitatu. Anahangaika sana kushindana na crisis za uvimbe na maumivu makali sana anayopata...
Ni matumaini mpo salama
Kwa muda wa wiki 2 sasa nimekuwa nikikojoa Mkojo wa njano sanaaaa. Nikinywa maji mengi unjano unapungua kwa muda tu then Unarudi.
Jf doctors, tatizo hili linasababishwa...
Poleni na majukumu waungwana, mwanangu kwa sasa ana miezi sita. Ila amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kutokewa na vipele vinavyotunga usaha, wakati mwingine vibalango. Naombeni ushauri au tiba...
Kuna jambo limekuwa likinitatiza kidogo. Ni kuhusu hizi dawa za kuzuia virusi vya UKIMWI kwa wasichana waliobakwa! Sasa kama mtu kishabakwa maana yake tayari ana maambukizi ya virus halafu anapewa...
Dar es Salaam. Unywaji pombe kali kupita kiasi, umetajwa kuwa chanzo cha upofu, huku uhaba wa madaktari wanaotibu ugonjwa huo, vifaa tiba vikielezwa kuwa kikwazo.
Mbali na unywaji pombe, pia...
KWA UFUPI
Mbali na unywaji pombe, pia kuvaa miwani ya urembo au ya kusomea bila kupata ushauri wa daktari, ni miongoni mwa sababu za kupunguza uwezo wa macho kuona.
Dar es Salaam. Unywaji...
Habari wana JF,
Dada'ngu anasumbuliwa na tatizo la uvimbe ndani ya kizazi. Amefanyiwa upasuaji mara 2 akiondolewa uvimbe, na mara hii uvimbe umerudi tena ameambiwa kama ataenda hospitali tena...
Maana Hospitali ya Temeke hadi saa hizi saa 11:50 usiku toka saa 10:00 usiku hakuna Daktari anaewaudumia wagonjwa je hakuna usimamizi au tathmini ya sensa Temeke hapa sielewi kwanini Daktaria wa...
Nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la kuumwa na meno kwa muda mrefu.. Na nimetumia dawa nyingi bila kupata ahueni yoyote.
Ila juzi kati nilisoma thread moja ivi ya Mzizi Mkavu nikaona jinsi ya...
Kwa aliye na matatzo ya uume mwembamba,Nina dawa inayoongeza maumbile ya umbo la uume,ni dawa ya mitishamba iliyo na uwezo wa hali ya juu,inaufanya ume kuwa mnene na kukufanya uinjoy mapenzi kwa...
Wiki iliyopita nilizungumzia kuhusu Paracetamol, ambayo ni maarufu kwa jina la Panadol, tuliona kwamba dawa hiyo inapotumiwa kiholela, inaweza kusababisha madhara kwa viungo vya mwili kama vile...
Vyakula vya watu wengi wanaoishi katika miji hapa Tanzania ni vile vinavyotokana na wanyama kama nyama, maziwa, samaki, kuku, mayai, dagaa, soseji na vyakula vilivyotengenezwa kwa kutumia nafaka...
Dawa za Antibiotics
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti...
Habari jf.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa...
Ndugu zanguni hivi juzi niliishiwa nguvu na baada ya hapo kuanzia siku hiyo hadi leo siwezi kuongea sana pumzi zinanibana. Sasa wengine wanasema naumwa moyo wengine wananiambia ni presha nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.