Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu naomba mnisaidie kila ifikapo saa nane usiku mwanangu wa kiume wa miaka saba anapiga kelele sana kama kuna mtu anayemvamia. Naomba mwenye msaada wa nini kisababishishi anisaidie. Ili...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wadau heshima yenu, Nina tatizo japo sio la muda mrefu sana, katika maeneo yetu ya uzazi wanaume. Moja ya sababu ninazohisi ni kunywa mara kwa mara dawa za...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu,nimependa ku-post hii taarifa kutokana na kuwa mmoja wa mashuhuda wa jinsi dawa hii inavyotibu. Kwa kifupi usikate tamaa kwa ugonjwa ulionao,hakika kuwa na imani na dawa hizi kutoka FOREVER...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf, ninaswali kwamba je, mama ambaye ananyonyesha mtoto (labda miezi 3, 5, mpaka 8) akiwa anafanya mapenzi na mumewe kipindi hiki anam bemenda mtoto nikimaanisha mtoto hatakuwa anakua...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Ni taarifa ya kusikitisha, kushangaza na kuudhunisha lakini ni kweli Kwa katika kizazi hiki cha dotcom cha sayansi na teknologia, kizazi cha Ipad, smartphones ambapo karibia kila mtoto mpaka...
1 Reactions
1 Replies
938 Views
Naombeni mnisaidie tiba ya kuongeza shahawa na mbegu kuzalishwa kwa wingi. Nawaombeni kam sio tiba hata mawazo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajukwaa habari za kazi? Natumai wote mu wazima. Nina mpenzi wangu ambaye anasumbuliwa sana na maumivu kuanzia kwenye magoti kushuka chini . Tatzo ni la muda sasa kama mwezi, anapata...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
naomba majibu, kwa sababu wapo yanayotoka kwa kasi, yapo ya kutoka kwa kasi ya wastani pia kuna nyingine huchuruzika bila kasi yoyote. Je utofauti huu unamaana yoyote ktk uzazi.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada maana nimezungumza na watu kadhaa kuhusu hii njia ya kuzuia mimba kupitia tarehe lakini inanipa shida maana kila mtu ananitajia tarehe zake na wa mwiso alinambia ni siku ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UKAVU katika midomo ni tatizo, ambalo huwakabili watu wengi bila kujali jinsia wala umri. Pamoja na kuonekana ni la kawaida, lakini hukosesha raha na kumfanya mtu ajihisi kupoteza mvuto wake...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu wasalaam, Tafadhali naombeni kujuzwa sababu inayopelekea tatizo la mtoto kuzalia akapatwa na shda ya kupumua vyema na kulazimu kuwekewa oxygen haraka ili kumsaidia kupumua. Na je...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Matumizi ya kila siku ya dawa za kupunguza maumivu kwa jina Paracetamol huongeza hatari ya ugonjwa wa moyo ,kiharusi na kusababisha mtu kuaga dunia mapema ,utafiti umeonya. Utafiti huo umebaini...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina elim kidogo kdatu cha nne,tu,ila nina tatzo la kichemba yani wanakaita kajembe,haka kapo juu ya ktovu,ukipapasa tu utakaona xx mm hakapo na waga nasikia maumivu kwa ndan na mda mwingne nguvu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wapendwa poleni kwa majukum nina Ndugu yangu ana watoto mapacha wakiume na wakike huyo wakiume yuko fit Alhamdulillah ila nahuyu wakike alizaliwa na matatizo yamoyo kwa sasa...
1 Reactions
8 Replies
10K Views
Naomba mnisaidie wana JF, Hivi wazazi wote wawil wenye Albinism, kuna uwezekano wa kuzaa mtoto asiye Albino? Ikiwa ni kwel inawezekanaje? Nisaidien ndugu zangu..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba mnisaidie, mimi ni mjamzito wa miezi 7 nina tatizo la kiungulia toka mimba ina miezi mitano, haipiti siku bila kusikia hiyo hali kiukweli nateseka mnoo. Kama kuna mtu anajua dawa tafadhali...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
"Heshima kwenu wa kuu" Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, Ni kweli kama ilikua mchana, na kujifungua ni mchana? Nakama ilikua usiku, na kujifungua ni usiku?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mpenzi wangu hajui kuhesabu siku zake za kwenda mwezini na ana umri wa miaka 24 hajui siku zake za hatari yani kushika ujauzito kila siku nampa somo lakini aelewi nifanjaje ndugu zangu?
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Habari zenu wapedwa.Naomba kuuliza anaefahamu icho kifaa naweza kipata wapi naomba anisaidie. Kifaa hicho kinatumika kurefusha chuchu(nipples)kwa wale wenye flat nipples.Chuchu zikiwa flat...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Naomba kujua faida na hasara za kutumia dawa za kuongeza nguvu erectro mg 100. na dawa ipi nzuri naweza kutumia kunipa nguvu ya kupiga bao tatu nikiwa na age 50?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom