Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Huu ndo ukweli. Wakati mwingine tukiwa wakweli me kwa upande wangu naona kama yaweza kuwa msaada, hii kitu gambe me naipenda sana ila nimegundua kama vile yenyewe hainitaki, 99% nakuwa si...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Unaweza kuwa na kila kitu hapa duniani lakini kama afya yako ni mgogoro basi ujue una tatizo... mfano huu unaweza ukaufanyia kazi au ukaachana nao sijakulazimisha......... nilijikuta nina uzito...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf wote habari za leo, mi ninaishi Arusha kuna mtoto wangu macho yanawasha sana amesugua mpaka ngozi ya macho umechubuka. Sasa sijui tatizo ni nini naombeni kujua clinic nzuri ya macho hapa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau, Naandika kuomba msaada kwenu kwa sababu sasa hali hii kwangu imekuwa too much. Miaka miwili iliyopita nilikuwa na uzito wa kilo 94 sasa umeongezeka hadi kufikia 118 licha ya mazoezi...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari zenu madaktari, manesi kwa wakunga wa jadi. Takribani miezi kama miwili mitatu hivi nimekuwa nilisikia hali ya usingizi kupitiliza, naeza amka asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Awali: Kabla ya yote napenda kuanza kwa kusema kuwa albino ni binadamu sawa na binadamu wengine waliozaliwa na hitilafu za kiafya za kurithi kutoka kwa wazazi wao kama vile hitilafu/ulemavu macho...
2 Reactions
3 Replies
10K Views
Habari nzuri kwa wanajamvi,kwanza poleni na mihangaiko na matatizo ya kila siku,kwa wale wanaosumbuliwa na tatizo la vidonda vya tumbo nimepata dawa ya asilia yenye kuponya kutoka kwa baba mmoja...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wapendwa naimani wote mu wazima wa afya ya kutosha! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, hapa nilipo nimekwisha ng'oa meno yapatayo matano na sasa nina maumivu makali ya jino japo halijatoboka...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
habarini wadau,,, kuna jamaa angu amekuwa akiniulizia anaweza kupata wapi dawa za kupunguza unene kwani anaona anapoelekea siko na yeye hapendi unnene kabisa msaada wa kitabibu,kiushauri unahitajika!!
1 Reactions
3 Replies
3K Views
How to calculate dose?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wapendwa, nilikuwa mnene japo siyo sana nikagundua kuwa uzito wangu hauendani na utefu wangu ndipo nikaanza kujipunguza na sasa uzito wangu ni wa kawaida ila cha kushangaza...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana jamii forum naombeni msaada kuhusu kuwah au kuchelewa kumaliza wakati wa tendo kipi ni bora
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
ahsanteni kwamawazo na ushaur
0 Reactions
43 Replies
13K Views
By In2EastAfrica - Fri May 27, 9:27 pm The government of India yesterday signed an agreement with the Ministry of Health and Social Welfare to enhance construction of Apollo Hospital branch...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari wakuu, Nimesikia sikia hizi kuwa zina ongeza weight (my aim), sasa mwenye nazo anisaidie..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
More than 26 million American adults are living with kidney disease. Most don't know it -- Over 90 percent of people with signs of kidney disease are unaware of it. March is National Kidney Month...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mambo vipi ndugu zangu wapendwa, nahitaji kujuzwa juu ya suala hili : Kuna mtoto wa mjomba yangu alikuwa na mpenzi wake lakini katika mazingira ya kutatanisha alipatwa na ugonjwa wa zinaa (STDS)...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Watu wengi wanapenda kwenda gym kufanya mazoezi,lakini wengi wao pia hushindwa kwa sababu mbalimbali kama umbali,kukosa muda,etc Lakini usiwe moyo,kuna namna nzuri ya kufanya mazoezi ukiwa...
7 Reactions
39 Replies
15K Views
Habari zenu wapendwa, Naomba mnijuze ni mafuta gani ya Mnyonyo yanayotumika kupanga uzazi? Na je hua unapaka juu juu au unaingiza ndani ukeni?
0 Reactions
15 Replies
19K Views
Wadau habarini, ninaomba msaada wa mawasiliano au ushauri wa vituo hivi vya sober house pale kigamboni, au msaada zaidi. Nina ndugu yangu ni mlevi kupindukia mpaka anataka kuwa kama chizi...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Back
Top Bottom