Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nina mdogo wangu wa damu kabisaa ananifata ambaye ameolewa,jana kaja kwangu ananiomba nimshauri na tatizo lenyewe nii." Akisex na mumewe wanafanya vizuri inapofikia mumewe ana ejaculate.Sasa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Ni dawa gani huweza kurudisha uwezo kutungisha mimba kama alikuwa hawezi kufanya hivyo ?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tumia kiungo cha tangawiz kwa kukisaga vyema kuchanganya na maji kwa uwiano stahili kwa maelezo zaid 0712505049 whats app gharama ni 5000 tu(elfu tano)
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Ni magonjwa gani husababisha mwanaume Kukosa uwezo wa kumpatia mwanamke mimba?
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Habari zenu wadau, nina tatizo nahis kwnye mfumo wa mkojo au uzazi. Ninahic maumiv kutoka kwenye kibofu hadi kwenye mbavu upande wa kushoto. Kende naona km zmepishana urefu ya kulia imeshuka kdgo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi wenzangu, kuna binti ni jirani yangu kanifuata kuomba ushauri kwa kuwa mtaani naitwa jina la Doctor akidhani mimi Doctor kweli kumbe jina. Inasikitisha kwa umri wake, ila yafaa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
waungwana habari kama kichwa kinavyosema kiukwel nasumbuliwa sana na tatizo hili la tumbo kias kwamba nakosa raha ya kujiisi ni mzima wa afya ..Nasema hiv kwa sababu maumivu haya ya tumbo si...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
10 things Doctors Secretly Wish they could tell you What your doctor is really thinking might shock you A doctor’s time has always been a precious resource, so we need to make every minute...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hafidh Masokola mwenye umri wa miaka 47, mkaazi wa Tabora amedai kuwa alitumia dawa aina ya Metakelfin miaka minne iliyopita kwa lengo la kutibu ugonjwa wa malaria, lakini dawa hizo...
1 Reactions
28 Replies
16K Views
Doctor, Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 38 nimeolewa na nimejifungua mtoto wa kwanza nikiwa na umri wa miaka 29 na baada ya miaka saba nilijifungua mimba ya pili watoto wawili pacha. Katika...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Ndugu wana wana JamiiForums, Dada yangu ana mimba ya miezi 6 kasoro, ila majuzi chupa yake ya uzazi imepasuka na inamwaga sana maji mfululizo ukeni, ila hasikii maumivu na akaandikiwa sindano...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari za kazi, naomba ushauri wenu juu la tatizo alilonalo mwanangu. nilikuwa namvalisha pampers lakini sasa zieanza kumtoa vipele. nimeacha kumvalisha pampers kw sasa, ni dawa gani ambayo naweza...
0 Reactions
23 Replies
17K Views
Utangulizi Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck. Ni jamii ya matunda...
2 Reactions
19 Replies
38K Views
Habari wanajamvi, mimi ni kijana wa miaka 21, ninafanya mazoezi ya weight lifting lengo likiwa ni kujenga mwili mzuri ambao upo fit. Sasa nasumbuliwa na tatizo moja, ni kwamba mimi ni mwembamba...
0 Reactions
16 Replies
14K Views
Heshima yenu wakuu! Jana nimeenda Hospital kucheki Sperm Analysis na majibu yake yamenistua sana. Nimeambia sina Sperm, yaani siwezi tena mpa mwanamke Mimba, japokuwa nina mtoto mmoja wa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari za Jumapili. Kuna mtu alikua ana msafirisha mgonjwa ambae tayari alikua mwathirika wa vvu, sasa kwa bahati mbaya gari likapata ajali na wote kuumia vibaya kiasi cha kuvuja damu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani mwenzenu nina Tatizo la Uume wangu unapokuwa haujasimama basi huwa mdogo kama wa mtoto, tatizo na suluhisho ni nini? PIA uume unaposimama ninapotaka kufanya tendo la ndoa basi Husinyaa...
0 Reactions
8 Replies
30K Views
Naomba msaada kwani sasa ni wiki ya tatu nilisafiri Sumbawanga kwa shughul za hapa na pale nilikuwa natumia vyakula vya asili. Sasa toka nimerudi mjini napata tabu, Uume muda wote unasimama mpaka...
0 Reactions
56 Replies
10K Views
hbr zenu wanajf mi nilpatwa na uvimbe km upele kwenye uume baadae ule uvimbe uliisha lakn uume ukawa unawasha sana sasa hivi nashangaa kila uume ukisimama au nikitizama uume nikijaribu kubonyeza...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habar wanajf. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta dawa ya nguvu za kiume bila kujua kuwa chanzo nini, ila leo napenda niwaeleze kuwa"kuna mazoezi maalum ambayo ukiyafanya husaidia misuli ya...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Back
Top Bottom