Hi wapendwa,
Naomba kuwashirikisha jambo hili na pia kunipa ushauri shida ni nini, mimi ni kijana wa kiume,niko kwa mahusiano muda tu na nimekuwa nikishiriki tendo vzuri tu lakini imetokea hivi...
Habari zenu.
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na tumbo la mara kwa mara,kutapika japo si sana kwa siku naweza kutapika mara 2.
Siku 2 zilizopita mwili ulikuwa unauma vibaya sana kiasi kwamba nikienda...
nina siku kama tatu hivi naenda chooni zaid ya mara sita kwasiku tumbo haliumi ila choo kina harufu mbaya sana pia nakaa zaid ya masaa sita nikibeua chakula kinakuwa bado hakuja sagika tumboni.
Ndg zangu habari za majukumu. Mwanangu anauvimbe sehemu ya chini ya mbavu kushoto kuelekea kwenye tumbo.Uvimbe huo ni kama mfupa lakini sio. Wenye kujua hili tatizo karibuni kwa msaada. Mtoto...
Habari zenu wapendwa natumain wote mtakuwa wazima nakumbuka niliomba msaada kwenu kuhusu kuujua mzunguko wangu kwa ujumla, na mkanielekeza cku muhimu ya kupata pregnant lakini mpaka leo holaa na...
Asalaam aleykum.
ku poop = imetumika kama kupata haja kubwa.
ku pee = imetumika kama kupata haja ndogo
Kuna mambo mengi yanayotokea labor wakati wakujifungua but the most embarrassing ni vitu...
MziziMkavu!
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?
Wadau kwanza salamu!
baada ya salamu naomba ushauri wa kitaalamu juu ya maumivu makali ya mgongo au kama kuna mwenye kufaham walipo madaktari wa tatizo hilo anielekeze tafadhari.
Nimesoma na nimesikia sehemu mbalimbali kua ulaji wa bamia sana na nyanya chungu unasaidia uke kua na utelezi.Hali inayopelekea kupunguza michubuko wakati wa kujamiiana.
Sijui kama hii iko...
Jamani waungwana, naomba kujua ni wapi naweza pata sleeping pills, coz yani sipati usingizi kabisa hadi imekuwa kero. Na je bei yake?
Kama kuna ushauri mwingine tafadhali msaada..
Kwa wenye uelewa, nini chanzo na ipi ni tiba ya matatizo ya dada huyu?
1. Anapata maumivu makali wakati wa hedhi
2. Mwezi huu hajaingia hedhi, maumivu yemekuwa makali zaidi, maziwa nayo yanauma...
Habari JF Doctor...
Kama kuna mada ilishawahi kuzungumziwa hapa jukwaa nitaomba Link au hii mada iunganishwe. Itakuwa msaada sana kwa sisi wazazi na wazazi watarajiwa.
Kuna wazazi waliofiwa...
Naomba msaada wa mawazo maana i am running out of ideas. Nina mtoto wa miezi 8 anayesumbua kula. Namjaribisha vitu tofauti tofauti ila ni vichache sana anavikubali. Nikisema nimemjaribisha ni...
Habari ndugu zangu,
Mwanangu tangu tarehe 9/2 alikuwa anaharisha, tukampeleka maabara kapimwa kinyesi (stool), tuliomba apimwe kipimo kimoja tu, na kukaonekana kuna Amiba, dakitari alituandikia...
Naandika huu uzi nikiwa eneo la tukio (chooni), nimekuwa nikihisi haja kubwa lakini baada ya kwenda msalani kushusha madini, nikianza kufikiria / kutafakari mambo mengine tu baaasi...ngoma...