Habarini marafiki
Leo nimeona niwafundishe WANAWAKE wa kileo mambo yasuhuyo WATOTO
na jinsi ya KUMNYONYESHA MTOTO ALIYE MCHANGA,
Msishangae kwaniini nimekuja na mada hii hapa kwani ilitokea...
Habari.
Sina lengo la kukejeli maumbile ya watu ila ningependa kujua,je kuna uhusiano gani kati ya unene na usingizi.
Ukiangalia watu wanene wanapenda sana kulala lala,iwe kwenye daladala au gari...
Kwani Hatujambo WanaJF,
Kila Kona Ya Ulimwengu Tunazungumzia Kuhusu Vyakula Vya Viwandani (artificial foodsubrtance) na vyakula vya asili (natural foodstuff).Kwani vipi bora zaidi na zaidi...
This World Health Organization map shows the percent of the population vaccinated for measles in each country in 2013. Dark green is at least 90 percent. Light green is 80 to 89 percent. Orange...
nadhani tu wazima wa afya njema.NDUGU WANAJAMII kma kichua cha kilovyosema.kama kuna mtu anazijua blog za matibabu ya kwa matumizi ya vyakula vya asili kwa binadamu.na vipi afanye vyakula hivyo...
Mimi ni kijana ninatatizo la kutoa maji maji sehemu za siri na yanakua na harufu mbaya ili tatizo linanisumbua kwa miaka miwili sasa...
Je nitumie dawa gani niondokane na harufu hii wadau?
Habari za hapa.
Ilianza taratibu tumbo kujaa upepo na kutokua na amani kiasi cha kukosa hamu ya kula. hali hiyo ilijitokeza kwa siku ambazo nimekula viazi vitamu (chai ya asubuhi) kwa kawaida...
Wakuu, mimi kijana wenu nasumbuliwa na mguu sasa miaka miwili, nimehangaika kwenye mahospitali huko wameshindwa.
Tatizo langu ni kwamba, nilianza kuumwa mgongo kwa saana baadae mguu wa kulia...
Hellow.....
Nina kabinti cha one week,nilijifungua week iliyopita....sasa since day one amekuwa ananyonya balaa....maziwa yalipochanganya akawa ananyonya mpaka yanakauka kisha anaanza kulia sababu...
Dawa inaitwa Madalah, yenyewe inatibu maradhi mengi, pia ukiweka mchanganyiko wa mti mwingine unafanya itibu maradhi mengi zaidi. Inatibu kisukari, pressure, inaongeza cd4 mwilini, nguvu za kiume...
habari zenu wapendwa
Nina mdogo wangu anaumwa sana mtoki tangu juzi, hana kidonda wala infection yoyote.
akienda hospital doctor anamwambia anywe dawa za maumivu tu na hazimsaidii.
Ila kuna...
A study being published online September 15, 2014 in the Journal of Clinical Oncology reports that men with a specific pattern of baldness at age 45 have a 40% increased risk of developing...
Wanajamii FF. nahitaji kuelimishwa juu ya madhara ya madawa ya kemikali katika kilimo cha bustani za mbogamboga kwa BINADAMU. na nahitaji kujuzwa madawa ya asili ya kulinda na wadudu wasiharibu...
Hivi mbona watu wanakula sembe? Dona ambayo ina kiini lishe kinaondolewa. Watu wanakula makapi. Ugali mweupe. Ni ustaarabu au ulimbukeni? Jamii inatakiwa kuhamasishwa kula dona ili akili na mwili...