Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ni miti mifupi sana inayojulikana na watu wa Tunduru kwaajili tiba nyingi toka enzi na enzi za wakazi wa Tunduru Ruvuma. Ni ngumu kupata jina lake kisayansi au katika kiswahili fasaha lakini kwa...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Je wingi wa damu na maambukizi ya ukimwi vinauwiano?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
heshima kwenu wakuu. nini tiba ya hilo tatizo.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ishara za mwanzo kabisa za asidi kuunguzwa ndani katikati ya seli au kwa maneno mengine asidi kuzidi kwenye seli za mwili na madhara ya kijenetiki ambayo yanaweza kujionesha, ni maumivu...
2 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari zenu wandugu. Mimi ni binti nina miaka 24. Huwa inapofika siku zangu jaman huwa nakosa raha kabisaa na huwa sitamanii kwenda sehemu. Kwanza huwa nina blid siku 5-6, ninaweza nikaumwa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Nilipata fungus ya sehemu ya tumbo usawa wa kitovu lakini kwa pembeni, kama miezi 6 iliyopita. Baada ya kutibu na kupona, na hiyo sehemu kukauka, pamebaki rangi nyeusi. Nafikiri ni kitu cha...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nimekuwa nikijiuliza nikitu gani kinachofanya mwili wa binadam kuwa na joto Kali kupita kiwango chake cha kawaida pindi anapoumwa malaria. ni nini kinachosababisha na Kama ni vijidudu vinapata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani nimeota mvi kichwan wakati mm bado kijana sasa cjui znasababishwa nin,ningependa kujua kama kuna dawa ya kuziondoa/kuzizuia zisiendelee kuota.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habarini wakuu! Njia gan naweza kuzitumia kuongeza kiasi cha sperm?,nini kina sababisha sperm kutoka kwa kiasi kidogo?na je kuna madhara yoyote yanayo weza kujitokeza kutokana na hari hii...
0 Reactions
23 Replies
12K Views
  • Closed
Habari za hapa wanaJF! Hivi kuna madhara yoyote ktk mwili iwapo utaamua kunyoa vinyweleo kwa kutumia wembe au hair remover? Pia kuna gene yoyote ambayo inahusika katika urithi wa vinyweleo kuwa...
0 Reactions
28 Replies
36K Views
Habari wadau, for ladies ambao mnatumia au mshawahi tumia PAds au pantliner za Human Cherish mtakubaliana na mimi kuwa huwa zina leta a high level of comfort na dryness mtu ukiwa kwenye siku...
1 Reactions
24 Replies
18K Views
Jambo wadau. Shemeji enu ana umri wa miaka 26 na ana mzunguko wa siku 30 ila kwa kawaida anableed siku 4 tu. Tatizo ni kuwa akikaribia ku bleed kiuno seem ya chini ya mgongo panachemka sana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna jambo la sura kuonekana ina umri mkubwa zaidi ya umri halisi. Mmoja kati ya watu hao ni rafiki yangu wa karibu na baadhi ya watu wa humuhumu JF. Haya wataalamu na wenye mawazo ya jambo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana - jamiiforums kuna tetesi kwamba bia haina ya safari lager inapunguza nguvu za kiume.Rafiki yangu amekuwa akitumia kwa muda sasa. Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
OVULATION ni hali ya kutoka kwa yai la kike baada ya kukomaa kutoka kwenye follicle baada ya kukua na kukomaa katika ovary. Hali hii hutokea katika hali ya kawaida katika siku ya 14 katika...
1 Reactions
8 Replies
118K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu....nina mgonjwa anaesumbuliwa na hayo maumivu....anahisi kuungua on her right breast kiasi cha kupandwa na homa iyo hali inapotokea, Ilimuanza kama miezi mitatu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu kwenye internet nimeona matangazo mengi ya kuongeza urefu au unene wa dushe(penis) na hata mitaani kuna za asilia kama za kimasai zinauzwa kwa kufanya kazi hii. Ni kweli...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Napenda kujua hivi korodani moja ikiwa Kubwa na nyengine ndogo kuna tatizo au ni hali ya kawaida tu
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Wana Jf Habari Za J2 Week End Ndo Hyo Ina End Ila Kwa Wengine Kesho Bd Ni Week End (off) Back To Topic Me Nna 22 Yrs Ila Ni Mmene Zaid Ya Kilo Sabini Ila Huwa Cpendi Nikiona...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Habari zenu wana jamiiforums, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 ninaishi Ushirombo Geita Tanzania, Tatizo langu ni kwamba nikivuta pumzi ndani nahisi kuna kitu kinabana na nikirudisha pumzi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…