Unapotumia kitunguu maji kukikata usikibakishe ili kesho yake ukitumie tena. kile kitunguu Maji
unacho kibakisha
kinageuka Sumu na kinatengeneza wadudu wa sumu. Ukikitumia kile kitunguu Maji...
Nina umri wa 28 sasa,nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatizo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenzi zipo karibu sana. Nikiwaza mapenzi kidogo tu uume unasimama na kutuliza inakuwa kazi...
Jamani kama kuna mwenye msaada naomba anisaidie mimi tatizo langu ni kwamba sipati effect yoyote nikitumia dawa yan dawa uwa naona ni kawaida tu na hazinitibu wala nini...
Imekuwa kawaida kwangu kichwa kuuma sana hasa baada ya kusafiri na magari mbalimbali hasa kwa muda mrefu mara nyingine hata safari ya masaa mawili tu shida kichwa kitauma sana mpaka nilale...
Heshma kwenu wakuu., naomben ushauri au hata tiba pale itapobidi. Ni wiki mbili sasa cousn angu anasumbuliwa na sumbuliwa na kuchubuka korodan pia uume umepooza(haujasimama) kwa wiki zote mbili...
Ni muda mrefu sasa nasumbuliwa na tatizo la kukojoa mkojo wa njano kupindukia, Mara nyingi nimejaribu kupata tiba katika hospitali tofauti tofauti bila mafanikio yoyote yale, tatizo bado lipo...
Mficha maradhi kifo umuumbua. Tar. 25 dec kwangu imekuwa ya majanga baada ya kuchepuka na mchepuko huo kuniachia maradhi na niliamua kuchepuka baada ya mwandani wangu kwenda kula xmass kwao.
So...
Bidhaa yetu nzuri ya asili iliyotengenezwa kwa matunda, mboga mboga na mimea mbalimbali toka pande nne za dunia, ikafanyiwa utafiti wa kina kwa miaka 4 sasa inaaminika na kupendekezwa kwa...
These days, everyone is going green, and indeed its high time! When it comes to food, green is definitely good for you. Weve researched ten of the top green foods we would all do well to...
Habari wadau! wale wote mnaosumbuliwa na mtatizo mbalimbali ya kiafya mtafuteni mtaalam huyu wa tiba asilia kwa upande wangu kanisaidia sana,nimeamua kumuweka hapa kwa kuwa amenisaidia...
Heshima kwenu!mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
nasumbuliwa na tatizo la chunusi kubwakubwa usoni
nimejaribu kuuliza wataalamu wa masuala ya ngozi wakasema ngozi yangu ni ya mafuta hivyo...
habar,kwa muda mrefu sasa ninakumbwa na tatzo kubwa sana hususa la kukohoa zen kwa baaday naishia kubanja ovyo ovyo hii imekua haibu kwang na naomba ushaur wenu kuhusu tiba yake
DR TAYE,
Mtaalamu wa tiba asili, anadawa za nguvu za kiume na kuongeza uume saizi upendayo, dawa za kutoa makovu na madoa na mistali ya ngozi nakuwa soft. Dawa za kutoa uvimbe bila kupasua. Dawa...
Naomben msaada ndugu zangu baba yangu anasumbuliwa na eusophagael tumour kwa anayejua tiba na WAP inapatikana nipo muhimbili baada ya rufaaa za hospital mbalimbali lakini mambo bado hayaeleweki...
habari,Ni nini sababu ya mwanamke kutokwa na uchafu mweupe sehemu za siri. Uchafu huo ni kama mtindi.Na unaambatana na muwasho sehemu za siri. Je tatizo ni nini na tiba yake ni nini? Msaada wataalamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.