Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wadau mke wangu ana tatizo hilo la pcos ametumia dawa mpaka basi toka kariuki,hindul mandal,regency .naomba aliye na udhoefu na hili tatizo na anayemjua Dr mzuri atupe msaada na je operation ndio...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu zangu,niliumwaga ugonjwa wa DVT miaka kama 3 iliyopita. Nilitibiwa KCMC nikapona kwa maana kipimo kinaonyesha INR ipo vizuri+blood picture. Sasa shida nikwamba toka nigundulike na kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za Asubuhi Wadau "Please nahitaji msaada wenu madaktari kwani nataka kufaulu mitihani yangu ya chuo lakini mambo ni mengi ya kusoma " Nahitaji kuongeza uwezo wa kuelewa na Cremming...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
wakuu nimekuwa nasumbuliwa na mafindo findo kwa takriban wiki je? ni dawa gani ambayo ni sahihi kwa ajili ya kunitibu yaishe kabsa msaada!!!!!!!!!!!!!1
0 Reactions
3 Replies
6K Views
wakuu habr zenu naomba kujua normal range za CD4,CD8 na CD3 pia kaz ya CD8 na CD3 N nini......
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwili wangu ulishageuka na kuwa kama gwanda la mwanajeshi au chui. Wakati wa jua natoa harufu mbaya ya joto.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada wenu, mke wangu alijifungua mtoto mwaka mmoja uliopita kwa njia ya operation lakini hadi sasa haoni siku zake. Hii imemletea hofu kubwa sana ingawaje hataki kunieleza...
0 Reactions
20 Replies
34K Views
Naomba kujua njia sahihi za kutatua tatizo la kushindwa kusex kwa round nyingine baada ya kuwa nimemaliza round ya kwanza. Ahsante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hellow members&drs! Poleni na majukumu ya kifamilia,binafs,serikali,chama nk. Am single lady of 30's najua wengine watashangaa but ndio hivyo.. by the way sicho nachotaka kukiombea msaada laah...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wazima humu. Jamani mimi twins wangu uzito wao hata nashindwa kuuelewa, wanakula vizuri tu, wako active lakini kwenye uzito napata mawazo sana. Binti amerudi kwenye kijivu, kijana nae anarudi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naimani mungu amewatangulia kwa cku ya leo, mimi nina swali eti n kwanini watu wengine mimba zao huwa znakua haraka na wengine hata huwa hazionekan, je ni sababu gani inakuwa hvo na n vitu gan...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
je sabuni hizi ni nzuri kwa matumizi ya kuogea?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau, sikuambiwa na mtu yeyote lakini nilijikuta natumia mafuta ya zeituni yanaitwa Spanish oil kama dawa ya meno. Nilikuwa na jino lililooza haps reception nikawa natumia kama dawa ya meno...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba kuuliza swali hili kwa nia ya rafiki yangu mmoja. Ana tatizo la maji maji kwenye uchi wake, yaani jamaa Yake akiingiza hâta kabla ya kukojoa kunajaa maji. Je hili ni tatizo? Dawa yake ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ladies, while thongs may appear very sexy and fitting, research has proven that wearing them can do you more harm than good because they expose you to some health hazards. Here's a few of...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Now if this picture doesn't make u wanna throw your cigarettes out of the Window, I don't know what will!!! Non Smoker Mapafu ya asie vuta Sigara. Smoker Mapafu ya Mvutaji Sigara. ​Kazi...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Naombeni kufahamishwa kama kuna matibabu ya kuachanisha nyama zilizoshikana kwa kumkarisha mgonjwa kwenye kiti na kumfunga jiwe la kilo 2 miguuni akiwa ananing'niza miguu?hospitali moja madaktari...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KITAALAM TATIZO HILI LINAITWA (ATTENTION DEFICIT HYPERACTIVITY DISORDER (ADHD) Watoto wenye tatizo hili ni wale ambao wana shida ya kukosa utulivu, kukurupuka na kua na utundu uliopitiliza Dalili...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
By definition(What is orthodontics? - Medical News Today). Wapi hawa watu wanapatikana, kuna mtu ana child/ milk tooth na ana miaka 30 so Hospital gani au Dr gani special wa hizi mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu heshima yenu na itifaki izingatiwe!!!!! Ninalo tatizo ambalo limekuwa likinisumbua kwa muda mrefu, zaidi ya miaka mitano sasa. Nimetafuta namna ya kulidhibiti bila mafanikio. Naomba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…