Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hi! Kuna mtu ameambukizwa Gonorea kwa mara ya pili sasa. Kwa mara ya kwanza alitibiwa mwezi April mwaka huu na kupona. Sasa ameambukizwa tena na anahitaji ushauri wa kitabibu kama anaweza...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanabodi, nipo kwenye masononeko makubwa kutafuta ufumbuzi wa tatizo la miguu la mama yangu, leo almost nilie mama amaenguka mbele yangu anasema mguu mmoja ndo unakataa hata kunyanyuka. Mama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar zenu jaman naomba msaada kwa ane jua dawa za kurutubisha mbegu za kiume ili ziweze kuzalisha.
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Polen na majukumu! Nna ujauzito nmeingia mwezi wa 9 sasa ila nna tatizo linanisumbua huwa nikila tu ile asbh tumbo linaniuma kwa hapa juu! Litaniumaaaa km dk 2 hv then litaacha! Karbia kila siku...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hodi hodi hapa uwanjani..! Hivi kwanini huwaga naugua vidinda vya limi mara Baada ya kuingia CHUMVINI. But i cant stop kuingia chumvini...cause my girl likes it a lot.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tarehe moja mwezi wa kumi na mbili ilikua tunaadhimisha siku ya Ukimwi Dunian,Kutokana na madhara yake kwa jamii kwakweli Ukimwi bado ni tishio na mbaya zaidi ni pale panapokua na matumaini F ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hbr wakuu, naomba fahamishwa sababu zinazoweza pelekea ujauzito kutoka wenyewe (automatic abortion ) na nini kifanyike kulinda afya ya mama baada ya kukutwa na tatizo hilo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kondomu ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uuume au ukeni wakati wa kujamiiana. dk. condom alifahamika kama mgunduzi wa kwanza wa kondomu ambaye alikuwa ni daktari wa mfalme...
2 Reactions
9 Replies
8K Views
Hivi kwa nini dada zetu siku hizi wanajifungua sana kwa operesheni tofauti na zamani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HIV is evolving to become less deadly and less infectious, according to a major scientific study. The team at the University of Oxford shows the virus is being "watered down" as it adapts to our...
1 Reactions
0 Replies
817 Views
Wanajf naombeni msaada,nilijifungua tar26 mwezi wa 9 tena kwa bahati mbaya mtoto alifia tumboni kutokana na chupa kukauka japo pia sijajua hilo tatizo lilitokana na nini maake utrasound tar19...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Nitumie dawa gani wadau ,kifua kinabana na sasa mara moja moja napumua kwa tabu.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba kwa wanaojua mini dalili za Kansas Nina mdogowangu analibongebonge kwenye titi LA kulia na li bonge bonge ukilishika linatembea haliko fixed he hiyo inaeza ikawa mass au canser
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari. Ripoti hiyo ya...
3 Reactions
69 Replies
13K Views
Paracetamol link to asthma risk 'has been overstated': Experts say evidence is not strong enough to warrant warnings Previous studies claimed exposure to paracetamol in the womb or during early...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
So which foods really ARE good for you? Interactive tool reveals the truth about chia seeds, acai berries, wheatgrass and green tea Data journalist David McCandless began research for the...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari. Ripoti hiyo ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii magic shaving powder ambayo watu mbalimbali wanaitumia kunyoa ndevu iwapo ina madhara ya kiafya kama vile kuweza kupata ugonjwa wa kansa hapo baadaye?
1 Reactions
24 Replies
23K Views
Olcomlabs (T) - Apollo HIS in 5 Minutes - YouTube
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…